Full Time: CAFCL: Vital'O 0-4 Yanga | Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 17.08.2024

Full Time: CAFCL: Vital'O 0-4 Yanga | Preliminary Stage 1st Leg | Azam Complex | 17.08.2024

Mambo ya kawaida hayo ,huwa mjisahau sana😁😁😁
HIi yanga imetufanya tuamini kuwa min -me sio robot kama tulivyokua tunafikir zaman maana siku hzi haishiibku like tuu bali ana comment kwa uchungu mnooo kisa Yanga mpaka unaona kabisa robot haliwez kuwa na hisia za uchungu namna hii!!😂😂😂😂
 
HIi yanga imetufanya tuamini kuwa min -me sio robot kama tulivyokua tunafikir zaman maana siku hzi haishiibku like tuu bali ana comment kwa uchungu mnooo kisa Yanga mpaka unaona kabisa robot haliwez kuwa na hisia za uchungu namna hii!!😂😂😂😂
😁😁😁
 
Musonda kocha anaweza kumpanga kwenye nafasi zingine kama winga. Na pia tukumbuke kuna mechi 30 za ligi kuu, mechi, mechi 10 za CAF hadi kumaliza makundi. Kuna mechi 5 za federation cup hivyo atatumika tu kwasababu mechi ni nyingi sana mbeleni na kocha atabidi afanye rotation
Ndiyo uzuri wa kuwa na wachezaji wengi ni faida kupumuzisha miili ya wachezaji
 
Naangalia hapa mechi ya KEN GOLD SPORT vs SINGIDA BIG STARS

yaan TIMU ZOTE HAZINA UWEZO WA KUPIGA PASI 5 MFULULIZO

YAAN butua butua nyingi sanaa yaan kwa mtindo huu TIMU ZA KUTOA UPINZANI NA CHANGAMOTO HAZIFIKI 6 KWAKWELI
 
Back
Top Bottom