Auto-Marvelt
JF-Expert Member
- Jul 13, 2019
- 1,653
- 3,336
Washajifia saivNa Simba wasingeweza kuwafunga hawa.
Unajua Simba wako hovyo sana
Hakuna tim pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washajifia saivNa Simba wasingeweza kuwafunga hawa.
Unajua Simba wako hovyo sana
💯Mkifikia kufunga lenta mtuambie.
Ushahamia kabisa huko au bado unajitafakariNimefurahi this time mnaweza msiende kabisa Group stage kuna Waethiopia wamoto hao
Sasa Kwa nn ile nusu fainali ya karia cup hukuikabaTimu nzuri inakabika kirahisi sana.
Tatizo lao ni lile lile
Weeee ni wakali kuliko 51mba na Aza4?Kuna Waethiopia wakali hao.
This time kwa aibu kubwa hamwingii group stage.
Weeeee 🔥🔥🔥 hadi raha
Shukuru wewe mzimaSaiv hamuwezi wagonjwa nyie
TenaZilipendwa!!
Hata JKU inacheza Klabu Bingwa, ingawa mechi zote inazipiga huko huko ugenini kwa kugharamiwa kila kitu na wenyeji 😀Ni sawa ila mwambie Vital'O yupo club bingwa Simba yupo SHIRIKISHO
hakuna loloteShukuru wewe mzima
Duh! mbona kama ilikuwa offside
Sawa mkuu,umefurahiMshachezea Mimba 4 huko
Mimba 4 hapo unatembea una eeh Mimba 4 mfululizoSawa mkuu,umefurahi
Bado tarehe 24,-08-2024, hivi semaji la vital'o lishajiuzuru?Mimba 4 hapo unatembea una eeh Mimba 4 mfululizo