Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmemuona eti yuko busy anaongea na simu yaani yuko busy kuliko mtu yoyote duniani, ila kashibaKatoka ndukiii
Jamaa Arsene Bucumu hana hamu na Yanga ni mwendo wa kuwajaza tuBado tarehe 24,-08-2024, hivi semaji la vital'o lishajiuzuru?
Bado hiyo tarehe 24-08-,2024 siku ambayo yanga imeomba iwe ni siku ya ufunguzi wa michuano hii ya CAFCLJamaa Arsene Bucumu hana hamu na Yanga ni mwendo wa kuwajaza tu
Mtu asikimbie uwanja tu maana ni mwendo wa vichapo wakasimuliane wenyeweBado hiyo tarehe 24-08-,2024 siku ambayo yanga imeomba iwe ni siku ya ufunguzi wa michuano hii
Nadhani hadi muda huu wachezaji wanaendelea kuhema na kutokwa na jashoMtu asikimbie uwanja tu maana ni mwendo wa vichapo wakasimuliane wenyewe
Coastal union badoCoast wamechapwa cha 3
Hahaaaaaa, kule kwenye looser CUP mama amenipa kazi kuwapa bao la mama ambapo nitakuwa natoa trey moja ya mayai ya kuku kwa kila goli 1 mkuu.Mimi naongelea mgawanyo mzuri wa rasilimali, wewe unacheka
NipoAhsante sana, umepotea.....ulienda home kuoa nini 😹
Kwanini mkuuMusonda ndio basi
Huyo mwingine hachezi club bingwa tafadhali. Usimjumuishe na wakubwa kama Ahly, Mamelodi, Yanga, CRB n.kMimi YANGA damu
KWAN KLABU BINGWA AFRIKA IMEANZA MBONA SIMBA AL AHLY MAMELOD HAWACHEZI ILA SISI UTOPOLO TUNACHEZA SSHV AU HII NI NDONDO CUP🏃🏃🏃🐸🐸🐸
UBUNTU BOTHO