Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Chamsingi ushaliwa bao mbili hizo hizo utarudi na point 0 leoSio tu kwamba walifungwa bila kupata goli, hata on target hawakupata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chamsingi ushaliwa bao mbili hizo hizo utarudi na point 0 leoSio tu kwamba walifungwa bila kupata goli, hata on target hawakupata
Wote hao wawili ni waliofeli wanagongana hapo mmoja mzembe zaidi anagongwa mbili hapoHii timu iko kwenye mashindano ya waliofeli na bado wanafeli
Chenga ndiyo magoli yetu au hatukukubaliana hivyo?Kibu anapenda chenga za kisenge senge anaboa
Acha na wao wajifariji...Sio tu kwamba walifungwa bila kupata goli, hata on target hawakupata
Leo mtasema yote mbele ya alkasusu ya mwarabuKibu tatizo hawezi kufikiria akiwa na mpira, anakurupuka tyuuh,
Aaaah
Nyie kina nani? Mie nashabikia tz prisonsKm nyie jana! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie mna point ngapi kwenye kundi lenu?Chamsingi ushaliwa bao mbili hizo hizo utarudi na point 0 leo
Unaota😂Fadlu tuachie timu yetu.
Hamjui boli bwana🤣🤣🤣🤣Yale ya Jana yametutia nuksi🤓
Simba huvuka hatua ya makundi kwa kushinda mechi za nyumbani. Haya matokeo wala hayashangazi. Akipigwa kwa mkapa ndo tunajua tupo kwenye hatari.Hii timu iko kwenye mashindano ya waliofeli na bado wanafeli
Kibu wangemtoa mimi.Huwa nashangaa Kwanini Huwa wanamuwekaKibu tatizo hawezi kufikiria akiwa na mpira, anakurupuka tyuuh,
Aaaah