Game hii ni kama Simba imecheza na wachezaji 10 uwanjaniHuyu ahoua hafai kuitwa mchezaji wa simba, tena eti ni PLAYMAKER wa simba.
Simba itafute mchezaji mwingine, huyu ni wa kawaida mnoo, wa kucheza kengold huko
Haya tufanye mmefunga[emoji23][emoji23][emoji23] wee jana mbna hata hukurudisha. Woooiiiiiih
Mpira hauhitaji wanariadha na mabondia kama hawa simba watafute wachezajiEDWIN BALUA ANAINGIA KUCHUKUA NAFASI YA OKEJEPHA
Huwa wanajikuta sana. Sisi tunawachabo tu.Ila hawa simbilisi eti wanabisha
Goli la ugenini 2-2 hiyoπHaya tufanye mmefunga
2-1 hapo mwarabu point 3 simbilisi mmeambulia kojo la mwarabu .
Akili mnapeleka wapiπ€£
Kundi gani? Leo ni luza day na kubwa jinga moja hapa linaliwa na watoto wadogoWA mwisho kwenye kundiππ
Hivi simbilisi kwanini mnatutia aibu jamani eeh? Kama hamjui mambo muwe mnanyamaza sawa?Goli la ugenini 2-2 hiyoπ
Point 0 kwenye group.π€ππKundi gani? Leo ni luza day na kubwa jinga moja hapa linaliwa na watoto wadogo
Sema mwarabu mjanja sana alikuwa anapeleka moto kidogo ili simbilisi wakatike sana wachokeDakika 84'
CS Constastine 2 - 1 Simba SC
Possession:
CSC 52% vs 48% SSC
Sababu hataki kupata aibu ya kukandwa kama ngano AlgeriaIvi kwanini Awesu awesu huwa hapangwi
Alkasusu ya Jana 2-0π€Sema mwarabu mjanja sana alikuwa anapeleka moto kidogo ili simbilisi wakatike sana wachoke
Sasa kanywa alkasusu na mwendo ni nje ndani sasa
Sisi tuna point, wee jee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya tufanye mmefunga
2-1 hapo mwarabu point 3 simbilisi mmeambulia kojo la mwarabu .
Akili mnapeleka wapi[emoji1787]