Na uwe na macho mekundu ya kula ndumu au ganjaKigezo pekee cha kuwa mchezaji wa Makolo ni rasta sio kiwango
Broo jiheshimu bacBao za fasta kama za kitandani
Alhamdulillah tumeshindaKila la kheri Constantine. Kwa hili siwezi kuwa mnafiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Gooooooooool
Kidudengq anaweka goli la 6 hapa
Kipindj cha nne hapa
Imekuuma eeeeBroo jiheshimu bac
Haiumi sana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ana 0 Yai[emoji23][emoji23] Simba lengo ilikuwa droo lakini hesabu zimegoma. Matokeo haya yalitarajiwa Mwarabu Yuko Kwao.
Wanachangamka baada ya kufungwa hapa napo hamna timu
CSC 2Nini kimetokea [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Huyu hoja Hana 😃😃Kaka achana nae huyo atakudhuru sio akili yake hiyo.