Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Eti nasikia simba kaenda Uarabuni, kalala chali? Nyie ana mapacha sasa, itakuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufungwa ni kufungwa tu!Bora sisi tumetoka 2-1 kiume 🤣🤣
Unaonaje tukianzia na hii ya kibudenga kutia goli 5 leo peke yake?Nakagua risiti.
Baelezee baambie baelewe 😃 😀 😃 😀 😃 😀 😃 😀Kufungwa ni kufungwa tu!
Polee
Nakagua risiti.Mwarabu ukimzuia dk 15 za kwanza anatepeta mbaya
Inasemekana mtoto mmoja mwarabu na mwengine Black mamba yaani simbilisi wamejua kutuaibishaEti nasikia simba kaenda Uarabuni, kalala chali? Nyie ana mapacha sasa, itakuaje?
Mpira Haramu 😟😟Nakagua risiti.
Acha kuwadanganya wenzio....hyo y awapiiView attachment 3172552
Msimamo baby😃😀😀😀😃😃😃
Kwa hiyo mmefurahi sio?Kufungwa ni kufungwa tu!
Polee
Hakika.Mpira Haramu
Hutaki kukubali mmetiwa viwili ah namna gani?Acha kuwadanganya wenzio....hyo y awapii
Pole sana I understand your painYani timu ina 0 na imefungwa mechi 2 goli 4 inakenua meno