Full Time: CS Constantine 2-1 Simba Sc | CAF confederation cup| December 8, 2024

Full Time: CS Constantine 2-1 Simba Sc | CAF confederation cup| December 8, 2024

Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC.
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.View attachment 3172617
Wewe utakuwa jobless umepoteza mda
 
MC alger ana Pungufu ya mchezo mmoja tu
Hoja sio idadi ya viporo bali Mc Alger akishinda kiporo chake atakuwa anaongoza ligi.
Kwasasa Constantine imecheza michezo 11 ina point 19, wakati Mc Alger kacheza michezo 10 ana point 17. Mc Alger akishinda mechi yake ya kiporo anakuwa na point 20 juu ya Constantine
 
🤣🤣🤣Ndio ushabiki mkuu acha makasiriko usijilinganishe na Simba mwenye point 3 alafu huna point hivo ni vitu viwili tofauti kabisaa CL &CCL ni kipimo cha ukubwa so bado mko kwenye kipimo
Mkuu mbona sijakasirika shida inaaanza wewe unafosi furaha na jana umelambwa huko uarabuni hoja sio point hoja ni kwamba umepoteza usijifiche kwenye point kubali kufungwa jana Kwel goal 2 dakika 4 ni maajabu😂😂😂
 
Mkuu mbona sijakasirika shida inaaanza wewe unafosi furaha na jana umelambwa huko uarabuni hoja sio point hoja ni kwamba umepoteza usijifiche kwenye point kubali kufungwa jana Kwel goal 2 dakika 4 ni maajabu😂😂😂
mimi sijakataa kweli nimefungwa ila shida ni wewe kujilinganisha na mtu mwenye point ingali wewe huna point na wa mwisho kwenye table
 
mimi sijakataa kweli nimefungwa ila shida ni wewe kujilinganisha na mtu mwenye point ingali wewe huna point na wa mwisho kwenye table
Wa mwisho kwenye table pia usilinganishe aina ya michuano,,wewe upo kwenye shirikisho wenzako wapo kwa mabingwa watupu,,timu unazokutana nazo intensity yao na klabu bingwa ni tofauti kabisa ivyo hoja ya kuwa na point Haina mashiko,,na hizo point ulizipata kwa kuchezaje,,performance ilikuwa ya ovyo kama sio umakini mdogo wa mpinzani wako ulikuwa unapigika,,goli la penalty uwezi kulinga nalo ata kidogo!
 
Wa mwisho kwenye table pia usilinganishe aina ya michuano,,wewe upo kwenye shirikisho wenzako wapo kwa mabingwa watupu,,timu unazokutana nazo intensity yao na klabu bingwa ni tofauti kabisa ivyo hoja ya kuwa na point Haina mashiko,,na hizo point ulizipata kwa kuchezaje,,performance ilikuwa ya ovyo kama sio umakini mdogo wa mpinzani wako ulikuwa unapigika,,goli la penalty uwezi kulinga nalo ata kidogo!
Ficha uchi wako mkuu 98yrs hujashiriki CL wakat ambapo Simba ameshirika sanaa leo hii unakuja kuongea utumbo wako basi sawa huyo MC Alger yupo nafasi ya ngap kwenye ligi yao round ya 11 hii na amewakanda 2mbili📌🚮
 
Ficha uchi wako mkuu 98yrs hujashiriki CL wakat ambapo Simba ameshirika sanaa leo hii unakuja kuongea utumbo wako basi sawa huyo MC Alger yupo nafasi ya ngap kwenye ligi yao round ya 11 hii na amewakanda 2mbili📌🚮
Uliposhiriki sana umeachieve kitu Gani? Labda nikupe takwimu yanga ndani ya misimu miwili aliyofanikiwa kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa kakusanya alama 28+,,Simba ndani ya misimu 6 aliyofanikiwa kufanya vizuri kakusanya alama 35,,na bado ndani ya misimu 2 aliyofanya vizuri yanga kacheza fainali ya kikombe icho cha ushirikishwaji na Tena akimpiga mwarabu ndani ya ardhi yake na kukosa kombe kwa kanuni but Simba aliishia robo fainali ya icho kikombe kwa aibu kwa kuchoma moto uwanja wa watu,,
Unapoongelea Mc alger ndio bingwa mtetezi wa ligi ya Algeria,,Rudi kapekue rekodi zako utajua ligi ya Algeria ni ligi namba ngapi kwa ubora barani Africa,
Nadhani utakuwa umenielewa vizuri otherwise uwe na lako jambo kichwani!!
 
Wewe utakuwa jobless umepoteza mda
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio (Visababu) SC.
25. Manguruwe SC.
Screenshot_2023-11-23-13-56-10-25_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Uliposhiriki sana umeachieve kitu Gani? Labda nikupe takwimu yanga ndani ya misimu miwili aliyofanikiwa kufanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa kakusanya alama 28+,,Simba ndani ya misimu 6 aliyofanikiwa kufanya vizuri kakusanya alama 35,,na bado ndani ya misimu 2 aliyofanya vizuri yanga kacheza fainali ya kikombe icho cha ushirikishwaji na Tena akimpiga mwarabu ndani ya ardhi yake na kukosa kombe kwa kanuni but Simba aliishia robo fainali ya icho kikombe kwa aibu kwa kuchoma moto uwanja wa watu,,
Unapoongelea Mc alger ndio bingwa mtetezi wa ligi ya Algeria,,Rudi kapekue rekodi zako utajua ligi ya Algeria ni ligi namba ngapi kwa ubora barani Africa,
Nadhani utakuwa umenielewa vizuri otherwise uwe na lako jambo kichwani!!
Tatizo lenu ni kuji compare na simba ndio kinachowaumiza vichwa rejea kwenye mahojiano ya Ali kamwe alishasema hili nadhani umeandika kwa jazba sanaa kisa tumewaacha mbali eti mmetolewa kikanuni acheni kujificha kwenye kanuni kama ni fainali hata sisi tulishafika fainali CL na sio CCL Mkuu acha kujilinganisha simba iko mbali sanaa sio kwa rank wala point
 
Back
Top Bottom