Full Time: Kagera Sugar 0-2 Simba SC | Ligi Kuu Bara (VPL)

Nimegundua Okwiiiii ni Waziri wa Mambo ya Ndani. Na Boccooo ni Waziri wa Mambo ya Nje

This is Simba bhana
Huyo Okwi ndo mana anawaendesha! Muda si mrefu anaenda Kampala! Si unajua bila Okwi Simba ni weupe tu
 
[HASHTAG]#Ndala[/HASHTAG] Bhana! Akili Zao Zote Zinaishi Kwenye [HASHTAG]#Madimbwi[/HASHTAG]!!! Eti Boya mmoja anasema Goli la Pili Tumebebwa Kwani Mchezaji Wa Simba (Kapombe) Kafanyiwa Faulo Na Kocha Kapeta Hakupuliza Kipenga Kuwapa Simba Set-piece Yao na ikapelekea Simba Kupata Goli...! πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
[HASHTAG]#Ndalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa[/HASHTAG]! Muko wapi?? Mbona mumeutelekeza Uzi mulioanza kuuvamia kwa shangwe? πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Super goal kutoka kwa super Ndemla ....hatari sana
 
Okwi bado amekuwa ni Mfungaji bora wa kiwanja kimoja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…