zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
kabisa liwakute KMCLolote baya liwapate 🥵
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kabisa liwakute KMCLolote baya liwapate 🥵
Ilikuwaje mkaondolewa huko juu ilhali nyie ndio mabingwa?Yanga Bingwa.
Tunarudi kuwa Juu.
Mnarudi kileleni kweli ila mnatoa droo leo.Wazee wa kupeleka Motoo,
Leo tunarudi kileleni na hatutoki tenaa..!💚💛🔥
Itakuwa mnyama wewe😆Full time: KMC 1-1 YANGA
Usisahau kuleta update mkuuKMC FC Vs Yanga SC
| NBC Premier League
| KMC Complex
| Februari 14, 2025
🕖 10:15 Jioni
View attachment 3235945
😂😂😂Imbongolongondo sijuwi leo atacheza
😃😃Yanga anafungwa Goli moja bila Yaan
KMC 1-Yanga 0
Tukutane baada ya dakika 90.
Hilo Ndio la msingi sana mkuu,Usisahau kuleta update mkuu
Hali ni mbaya mno 😃😃Utopolo tangu watoke droo na JKT wamekuwa hawajiamini kabisa.
Zile tambo zao za Gusa achia twende kwao huzisikii siku hizi😄😀😃
Sema Dube naye anawaangusha sana utopolo, amekuwa kama gari la mkaa. Trip Moja shamba trip Moja gereji😂
Utopolo wamekuwa kama wale wachekeshaji wanaojipaka masizi usoni ili wasijulikane.Hali ni mbaya mno 😃😃
Mie hii timu itakuja kunitoa roho siku ile nilikaa kwenye jua la utosi hadi game inaisha pale uwanjani walizingua sana kina dubeUtopolo wamekuwa kama wale wachekeshaji wanaojipaka masizi usoni ili wasijulikane.
Na ODDS zako wakasepa nazo😃😀😄😆Mie hii timu itakuja kunitoa roho siku ile nilikaa kwenye jua la utosi hadi game inaisha pale uwanjani walizingua sana kina dube