Mwaka huu ubaya ubwela kumamakeh...jino kwa jino, Hadi mechi ya mwisho tutafanya umafia wote mamaeh na Simba bingwa ..by the way mmeshampa pesa yote ikangalombo? Mana tuliwasiliana nae tukamwambia timu unayoenda kucheza ni mbovu na zaidi ni matapeli na huwarusha pesa wachezaji wake na Zaid huwabania zikija ofa nono, kwaio jamaa huko anataka signing fee yote mumuwekee kwenye akaunti mamaeh, la sivyo hachezi, na atarudi kwao au sisi mnyama tunaweza kumtafutia timu nyingine, Bado Kuna bomu la baleke.