Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hivi mtaacha lini ushamba?? Kuna mtu alibamizwa na Simba kuliko utoo... 😀 😀 😀 😀Haijacheza bali hesabu za goli zile 5 alizofungwa Simba nov 5, KMC kaongezewa moja na kuwa jumla ya goli 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mtaacha lini ushamba?? Kuna mtu alibamizwa na Simba kuliko utoo... 😀 😀 😀 😀Haijacheza bali hesabu za goli zile 5 alizofungwa Simba nov 5, KMC kaongezewa moja na kuwa jumla ya goli 6
Ukiona utopwinyo anaongoza ligi basi ujue Simba hajacheza..Mwanzo ilikuwa gap la pnt 1 ,leo ni gap la point 2 ,mkishacheza mnapigwa gap la point 3 means mchezo mmoja mbele na ndiyo inakuwa baba jeni bai bai....sisi huwa tunamaliza na michezo mitatu mkononi hahaaa.
Siku moja moja huwa namkumbuka.Nakuona nakuona.Guede ulishamsahau?
Ukimwambia Diarra akuletee cleansheet anaenda kukuletea shuka safiVIP nasikia diara kapigwa bao huko
Bado hamjaacha tu zile Hesabu zenu za tuki na waki tulijua ziliishia kule cafcl 🤣🤣Wazee wa kupeleka Motoo,
Leo tunarudi kileleni na hatutoki tenaa..!💚💛🔥
Sitaki ukorofiiBado hamjaacha tu zile Hesabu zenu za tuki na waki tulijua ziliishia kule cafcl 🤣🤣
Nasikia kuna penati kipa kaifuata alipoona anaweza kuidaka akaweka mikono mfukoni ili asimuharibie siku Mr. Mobetto.Mapenalty leo wamemwagiwa kama yote yaniii
Baiskeli ya miti huwa haimalizi safariHongereni kwa ushindi Yanga.
Lakini Mkumbuke tu kuwa, msimu huu Simba ndiye Bingwa. Mmesikia nyie Utopolo?
Diarra amechafua shuka siku ya ♥️ Valentine!!! Anaona raha mwenyewe.Kwaiyo No clean sheet Today.?
Ni sequence and series ,tulivyokuwa juu tulikuwa tumewazidi(45 vs 44) point moja ,tukatoa draw tukawa na 46 nyinyi mkapanda 47 ,leo tupo juu tumewazidi point 2(49 vs 47) ,umeona sasa tukiwa juu tena tutawazidi Point 3 huko mbele ambayo ni sawa na mchezo mmoja ,ni hesabu kaka hazidanganyi.Ukiona utopwinyo anaongoza ligi basi ujue Simba hajacheza..
Piga hesabu vizuri Mr 🐸🐸View attachment 3236462
Historia haijaanza kwenye 1-5. Imeanza mbali mno na tutakufa tukiiacha ikiendelea kuwekwa.hili goli moja kama yanga hatulitambui linaharibu historia yetu ya 1-5
Simba haijacheza.KULA CHUMA HICHO.
View attachment 3236437
kweli mkuu kuna mpinzani kukimbia uwanja baada ya bao 3 nayo ni historiaHistoria haijaanza kwenye 1-5. Imeanza mbali mno na tutakufa tukiiacha ikiendelea kuwekwa.
Hahaha.kweli mkuu kuna mpinzani kukimbia uwanja baada ya bao 3 nayo ni historia
Ilikua ni miujizaaa....hahahaaaNasikia kuna penati kipa kaifuata alipoona anaweza kuidaka akaweka mikono mfukoni ili asimuharibie siku Mr. Mobetto.
Tunakuja kuwatoa hapo juu hao vyuraKULA CHUMA HICHO.
View attachment 3236437
Mtani jezi Afu 85?