Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Jee ingekuwa historia ya Simba kuifunga Yanga 6-0 si ungewehuka kabisa😄😃😀hili goli moja kama yanga hatulitambui linaharibu historia yetu ya 1-5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jee ingekuwa historia ya Simba kuifunga Yanga 6-0 si ungewehuka kabisa😄😃😀hili goli moja kama yanga hatulitambui linaharibu historia yetu ya 1-5
KULA CHUMA HICHO.Hahaha,
Ngoja mkae hapo juu kwenye msimamo kwa muda..
VIP nasikia diara kapigwa bao hukoHapo safi kabisa tukitoa hilo goli lao moja zinakuwa goli 5:0
iyo cha mtoto kuna ile mtu alipigwa 3 kipindi cha kwanza akakimbia kuogopa aibuJee ingekuwa historia ya Simba kuifunga Yanga 6-0 si ungewehuka kabisa😄😃😀
Ni kweli mkuu Diarra kapigwa bao 1 ila wao Yanga wamewapiga KMC bao simba+1VIP nasikia diara kapigwa bao huko
Nakuona nakuona.Guede ulishamsahau?Wazee wa kupeleka Motoo,
Leo tunarudi kileleni na hatutoki tenaa..!💚💛🔥
Ukiona utopwinyo kakwea kileleni basi ujue Simba hajachezaUnasemaje mkuu? 6 o'clock in the morning. Where you gonna be?
Amina,amina1 - 6
Ahsante Yanga kwa zawadi ya Valentine's Day. Tunawapenda sana.
💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Mbona sinahabari Simba Leo imechezaNi kweli mkuu Diarra kapigwa bao 1 ila wao Yanga wamewapiga KMC bao simba+1
Hueleweki. 6-0 unazikumbuka?iyo cha mtoto kuna ile mtu alipigwa 3 kipindi cha kwanza akakimbia kuogopa aibu
iyo 6 mwanaume hakukimbia
nakumbuka mkuuHueleweki. 6-0 unazikumbuka?
Ukiona utopwinyo kakwea kileleni basi ujue Simba hajacheza
Na kama hujawahi pigwa 5-0 umlaumu nani?kama ujawahi pigwa 1-5 basi mlaumu KMC
sema ile 5-0 haikunoga maana 3 zilikuwa za penatiNa kama hujawahi pigwa 5-0 umlaumu nani?
Yani mtani hizi mechi ndo huwa mnajiona mko vizuuuri mnaharibu ...hahaha
Haijacheza bali hesabu za goli zile 5 alizofungwa Simba nov 5, KMC kaongezewa moja na kuwa jumla ya goli 6 ( goli Simba+1)Mbona sinahabari Simba Leo imecheza