Full Time: KMC FC 1 -6 Yanga SC | NBC Premier League | KMC Complex | Februari 14, 2025

Full Time: KMC FC 1 -6 Yanga SC | NBC Premier League | KMC Complex | Februari 14, 2025

Inshaallah game itaisha kwa kmc kupata ushindi leo, ila tuwe wakweli kwa mara ya kwanza Baada ya miaka 3 mashabiki wa yanga 50% wanaihofia simba inaweza kubeba ubingwa, simba hii ya mpanzu kushoto kulia kibu moto utawaka msimu huu:FIRE::FIRE:🔥
Huyo mpanzu mtamkataa tarehe 8
 
Ni sequence and series ,tulivyokuwa juu tulikuwa tumewazidi(45 vs 44) point moja ,tukatoa draw tukawa na 46 nyinyi mkapanda 47 ,leo tupo juu tumewazidi point 2(49 vs 47) ,umeona sasa tukiwa juu tena tutawazidi Point 3 huko mbele ambayo ni sawa na mchezo mmoja ,ni hesabu kaka hazidanganyi.
Mahesabu yako ni kuwa 🐸🐸mmecheza mechi sawa na Simba na mmewazidi points 2..

Una hoja ya kuchekesha mno 😂😂

Hivi hujui kuwa Simba akicheza na kushinda mechi kwa goli moja tu mnashushwa hapo kileleni?

Nikukumbushe tena...
"ukiona utopwinyo anaongoza ligi basi ujue Simba hajacheza".
 
Mahesabu yako ni kuwa 🐸🐸mmecheza mechi sawa na Simba na mmewazidi points 2..

Una hoja ya kuchekesha mno 😂😂

Hivi hujui kuwa Simba akicheza na kushinda mechi kwa goli moja tu mnashushwa hapo kileleni?

Nikukumbushe tena...
"ukiona utopwinyo anaongoza ligi basi ujue Simba hajacheza".
Nimesikitika sanaa kwa akili hizo za uliye mqoute ndo maana wanasema wenye akili ni 2...
 
Ni sequence and series ,tulivyokuwa juu tulikuwa tumewazidi(45 vs 44) point moja ,tukatoa draw tukawa na 46 nyinyi mkapanda 47 ,leo tupo juu tumewazidi point 2(49 vs 47) ,umeona sasa tukiwa juu tena tutawazidi Point 3 huko mbele ambayo ni sawa na mchezo mmoja ,ni hesabu kaka hazidanganyi.
Nimesikitika sana, comment hii kuandikwa na wee.
Duuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Nasikia kuna penati kipa kaifuata alipoona anaweza kuidaka akaweka mikono mfukoni ili asimuharibie siku Mr. Mobetto.
mara ya kwanza ilikuwa inasemwa makipa wanajifanyisha kudaka mashuti ya jamaa ila ilipo wakuta makipa wao (nyau ) hadithi ikabadirika
 
Ni sequence and series ,tulivyokuwa juu tulikuwa tumewazidi(45 vs 44) point moja ,tukatoa draw tukawa na 46 nyinyi mkapanda 47 ,leo tupo juu tumewazidi point 2(49 vs 47) ,umeona sasa tukiwa juu tena tutawazidi Point 3 huko mbele ambayo ni sawa na mchezo mmoja ,ni hesabu kaka hazidanganyi.
Mahesabu yako ni kuwa 🐸🐸mmecheza mechi sawa na Simba na mmewazidi points 2..

Una hoja ya kuchekesha mno 😂😂

Hivi hujui kuwa Simba akicheza na kushinda mechi kwa goli moja tu mnashushwa hapo kileleni?

Nikukumbushe tena...
"ukiona utopwinyo anaongoza ligi basi ujue Simba hajacheza".
Nimesikitika sanaa kwa akili hizo za uliye mqoute ndo maana wanasema wenye akili ni 2...
Huyo jamaa ni kila kabisa kama walivyo 🐸🐸wote kasoro wawili tu
 
Mahesabu yako ni kuwa 🐸🐸mmecheza mechi sawa na Simba na mmewazidi points 2..

Una hoja ya kuchekesha mno 😂😂

Hivi hujui kuwa Simba akicheza na kushinda mechi kwa goli moja tu mnashushwa hapo kileleni?

Nikukumbushe tena...
"ukiona utopwinyo anaongoza ligi basi ujue Simba hajacheza".

Huyo jamaa ni kila kabisa kama walivyo 🐸🐸wote kasoro wawili tu
Hao wanatushikia siti tu maana sisi hatuwezi kupitia madirishani
 
Nilikosa raha wiki nzima kisa sare ya kimazingaombwe vs JTK. Bado nina maumivu makali mno. 💔
 
Mahesabu yako ni kuwa 🐸🐸mmecheza mechi sawa na Simba na mmewazidi points 2..
Mkuu hiyo ni hesabu ,kadri tunavyowazidi point hata hiyo michezo tuliowazidi inakuja kupigwa gap na point ,tulianza kuwazidi point moja kwa mchezo mmoja mbele ,sasa tunawazidi point mbili mchezo mmoja mbele ,then tutakuja kuwazidi point tatu mchezo mmoja mbele hapo ndiyo gap linapoanza.(idadi ya goli itatubeba maana sisi ni tunapigaga kono la nyani hatucheck na wowote).
 
Back
Top Bottom