Full Time: KMC FC 1 -6 Yanga SC | NBC Premier League | KMC Complex | Februari 14, 2025

Full Time: KMC FC 1 -6 Yanga SC | NBC Premier League | KMC Complex | Februari 14, 2025

shida wana hamu ya kukumbushia rekodi ya 1-5 likipatikana goli moja utaona wanatulia
Wasijali iko siku watakumbushwa kuwa Yanga iliwahi kutundikwa bao sita mtungi(6-0) na Simba.

Mwaka 2027 itatimia miaka 50 tangu Abdalah Kibadeni kufunga hat trick dhidi ya utopolo😄😀
 
Nilitamani sana liongezwe Moja TU🙄manyau nyau yanaumia 😡😡😡haya magoal ya yanga maana yanaona kabisa yanashindwa kutufikia GD.😄
 
yaani historia imegoma kabisa, makolo wanaroga kumbukumbu isikumbushwe tena
Ibada za kijimwambafu kupitia history yaani yaliyopita ni sumu mbaya mno inayoitafuna utopwinyo muda wote coz hamna jipya zaidi ya kuabudu yaliyopita 😂😂

Mwakakundi mtaacha lini kulamba sumu sumu?
 
Back
Top Bottom