zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
draw ipo keshoMnarudi kileleni kweli ila mnatoa droo leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
draw ipo keshoMnarudi kileleni kweli ila mnatoa droo leo.
Vipi mganga wa kienyejiYanga anafungwa Goli moja bila Yaan
KMC 1-Yanga 0
Tukutane baada ya dakika 90.
Penati haramu huwa zinapanguliwa jomba..mbona penati zote za halali achana na wale wa penati za kuokoa jahazi
sana KMC alikuwa anakula mkono kama nyauHuyu kipa wa KMC amejitahidi sana kupunguza magoli hadi sasa
unataka sema hadi leo mwananchi amepewa penati halali 34Wastani wa penalty 2 kwa mechi.
shida wana hamu ya kukumbushia rekodi ya 1-5 likipatikana goli moja utaona wanatuliaWachezaji wa Yanga wana kaubinafsi wakifika kufunga
yamekuwa hayoNi aibu kwa Yanga kufungwa bao moja na KMC
KMC FC Vs Yanga SC
| NBC Premier League
| KMC Complex
| Februari 14, 2025
🕖 10:15 Jioni
View attachment 3235945
Updates..
Dakika, 27 Bado Yanga wanaongoza goli 2
Dakika, 29 Yanga wanapata freekick
Dakika, 31 wamepata freekick lakini wanakosa kutumia nafasi
Dakika, 38 KMC wanapata freekick
Dakika, 39 KMC wanafanga mabadiliko ya wachezaji wawili
Dakika 2 zimeongezwa kukamilisha dakika 45 za kipindi cha kwanza.
Half Time: KMC 0 - 2 Yanga SC
Dakika 45 za kipindi cha pili zimeanza
Pacome amechukua nafasi ya Mzize
Dakika, 49 goooool Aziz Ki anawapatia Yanga goli la 3
Dakika, 51 KMC wanapata goli
Dakika,54 Sure boy anaingia kuchukua nafasi ya Aucho
Dakika, 56 Yanga wanapata Penati
Dakika,56 Aziz Ki akitupia goli 4 kwa Yanga na inakuwa Hat trick
Dakika, 61 Chama anachukua Mudathir Nondo anachukua Nafasi ya Bacca
Dakika,64 Nondo anakosa nafasi ya wazi ya kufunga goli.
Dakika,66 Duke Abuya anaingia kuchukua nafasi ya Aziz Ki
Dakika,67 Chilunda anaingia kwa upande wa KMC.
Dakika,69 Mchezaji wa KMC anapata kadi ya njano.
Dakika, 72 KMC wanafanya mabadiliko ya wachezaji wawili.
Dakika,80 Dube anakosa goli.
Safu ya umalizia haijatundea haki kuna nafasi za wazi kabisa wamezipotezayaani historia imegoma kabisa, makolo wanaroga kumbukumbu isikumbushwe tena
Kwa hiyo tunakibaliana Yanga ni wajinga!Kuna magoli ma 4 Yanga wamekosa kwa sababu mbili
Ubinafsi na Ujinga wa mchezaji