Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Mpaka urudi kwenye team yako halisi[emoji22][emoji22][emoji22]
City tumekumbwa na jini gani, na halitaki kutuachia.
Naumia mie, Aaaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka urudi kwenye team yako halisi[emoji22][emoji22][emoji22]
City tumekumbwa na jini gani, na halitaki kutuachia.
Naumia mie, Aaaah
Ndio tumerudi mkuu kila mmoja atakunywa kikombe cha ghadhabu ya huo mvinyo wenye kuyapa machafuko mataifa 🤣🤣😅Duh hatari....hii balaa man city wamekuwa mdebwedo hadi man utd nao wanajipigia
[emoji22][emoji22][emoji22]
City tumekumbwa na jini gani, na halitaki kutuachia.
Naumia mie, Aaaah
Mpira acha uitwe mpira aisee 😆😆
Na kila mtu atanyolewa tu ni swala la mda.Mpira acha uitwe mpira aisee 😆😆
Kwanza tunawashukuru kwa kutupigia city, pili Mjitahidi nawaona kabisa mnashuka daraja 😆😆Na kila mtu atanyolewa tu ni swala la mda.
Ndio ujue namna league ya epl ilivyongumu. Hapo almost wamekatiribiana point. Atakae loose next match imekulaKwanza tunawashukuru kwa kutupigia city, pili Mjitahidi nawaona kabisa mnashuka daraja 😆😆View attachment 3177898
Man utd mmerudi wapi nyie wenyewe tia maji tia majiNdio tumerudi mkuu kila mmoja atakunywa kikombe cha ghadhabu ya huo mvinyo wenye kuyapa machafuko mataifa 🤣🤣😅
Tutaua mtu sisi ndio Manchester glory glory Manchester ×2 🎶Man utd mmerudi wapi nyie wenyewe tia maji tia maji
Yani ukipoteza tu game moja utakapoangukia duuh!!Ndio ujue namna league ya epl ilivyongumu. Hapo almost wamekatiribiana point. Atakae loose next match imekula
Mwe pa.oja nankushinda bado mpa nafasi ya ngapi vile 🤣🤣🤣Tutaua mtu sisi ndio Manchester glory glory Manchester ×2 🎶
United tunabeba ndoo kbisa😁😁😁😁Yani ukipoteza tu game moja utakapoangukia duuh!!
Bila sisi mpira humu duniani hauna mvuto😄😄😄Mwe pa.oja nankushinda bado mpa nafasi ya ngapi vile 🤣🤣🤣
Ona wenzio atalanta tunaongkza ligi huko italia...sie ni mwendo wakugawa dozi tuu.
Umenikumbusha jamaa nilimuuliza wee una support timu gani akasema manchester united. Kwanza jina man, ikimaanisha mwanaume, pili, chest kifua...hivyo manchester united = umoja wa wanaume wente vifua
Nyie zama i kwa sasa hata msipokjwepo maisha yanae da tuuBila sisi mpira humu duniani hauna mvuto😄😄😄
Tulia wewe kutesa kwa zamu.[emoji22][emoji22][emoji22]
City tumekumbwa na jini gani, na halitaki kutuachia.
Naumia mie, Aaaah
We kwanza timu gani mzee babuuu mzabzabuNyie zama i kwa sasa hata msipokjwepo maisha yanae da tuu
Wa kwanza sie atalanta bergamo kwenye ligi ya seri A. Tupo na bwana lukumanWe kwanza timu gani mzee babuuu mzabzabu
Kumbe hako ka timu, sasa unaenda wapi 😂Wa kwanza sie atalanta bergamo kwenye ligi ya seri A. Tupo na bwana lukuman