Full Time: Real Madrid 2-0 Atalanta | UEFA Super Cup | Poland National Stadium | 14.08.2024

Full Time: Real Madrid 2-0 Atalanta | UEFA Super Cup | Poland National Stadium | 14.08.2024

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Leo saa 4:00 Usiku kwa masaa ya Afrika ya Mashariki, kutakuwa na pambano la Uefa Super Cup katika dimba la taifa la Poland.

Bingwa wa Uefa Champions League atamenyana na bingwa wa Uefa Europa League.

Real Madrid Vs Atalanta

Dunia inaenda kumshuhudia Mbappe kwa mara ya kwanza akiwa ndani ya uzi wa Madrid.

Tukutane kuanzia Saa 4:00 kwa live updates

Kabumbu itakuwa mubashara kupitia Dstv chanel 225
 
Leo saa 4:00 Usiku kwa masaa ya Afrika ya Mashariki, kutakuwa na pambano la Uefa Super Cup katika dimba la taifa la Poland.

Bingwa wa Uefa Champions League atamenyana na bingwa wa Uefa Europa League.

Real Madrid Vs Atalanta

Dunia inaenda kumshuhudia Mbappe kwa mara ya kwanza akiwa ndani ya uzi wa Madrid.

Tukutane kuanzia Saa 4:00 kwa live updates

Kabumbu itakuwa mubashara kupitia Dstv chanel 225
✌️
 
Leo saa 4:00 Usiku kwa masaa ya Afrika ya Mashariki, kutakuwa na pambano la Uefa Super Cup katika dimba la taifa la Poland.

Bingwa wa Uefa Champions League atamenyana na bingwa wa Uefa Europa League.

Real Madrid Vs Atalanta

Dunia inaenda kumshuhudia Mbappe kwa mara ya kwanza akiwa ndani ya uzi wa Madrid.

Tukutane kuanzia Saa 4:00 kwa live updates

Kabumbu itakuwa mubashara kupitia Dstv chanel 225
Safi sana kwa update ndugu Greatest Of All Time wewe utakua upande upi na penda siku bingwa atoke upande wa Europa sijui leo kama Atalanta atawaweza hawa Madrid.
 
Back
Top Bottom