Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
- Thread starter
- #21
Epl kuna game kali ya Villa na Liver
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo kuna mchezo wa marudiano baina ya Real Madrid vs Man City.
Ni mchezo wa aina yake mara baada ya mechi ya kwanza ambapo Real Madrid aliibuka na ushindi wa 3-2.
Je Man City wafanyeje ili waweze kufuzu?
Mechi ni saa 5:00 usiku
City hana chake hapa, japo kwenye football lolote laweza tokeaMadrid anakiwasha
Kapigwa goli za chap chapKuna livakuku kule naye Hali tete
Tayari 2 bado 1Madrid jeshi anashinda 3bila
City hana chake hapa, japo kwenye football lolote laweza tokea
Mpe salamu mama jWatoto WA alfu mbili na city yenu, mkalale Sasa😅
Kweli aisee. Gsm anaendesha Yanga huku anadhamini wapinzani wake. Huu si wizi wa mchana kweupe.Huku sasa ndipo soka lilipo sio mambo yenu ya Namungo