Full time: Robo fainali Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 3-0 Kaizer Chiefs | Benjamin Mkapa National Stadium - Mei 22, 2021

Full time: Robo fainali Klabu Bingwa Afrika: Simba SC 3-0 Kaizer Chiefs | Benjamin Mkapa National Stadium - Mei 22, 2021

Hakika tumepambana kiume, asiyekubali kushindwa sio mshindani.
 
Hakika tumepambana kiume, asiyekubali kushindwa sio mshindani.
Hakuna chochote.... mmetiwa muhogo wa JANG'OMBE
20210515_051652.jpg
 
Hivi kwa huu mpira wa sasa wa Simba nyinyi mtauweza?
Huna akili wewe. Mpira unatokana na mechi husika na juu ya timu pinzani inachezaje.... Mashabiki wa Simba ni wapumbavu na wasio na AKILI KICHWANI. Mpira unaochezwa uwanjani huwa unategemea zaidi unacheza na nani, kiwanja gani, muda gani, physical fitness ya timu yako ikoje nk. Ingekuwa hivyo SIMBA ASINGEFUNGWA NA PRISON BOYA WEWE.
20210522_201004.jpg
 
Haya niambie hicho kitu, au nikugeuze nikupige tu mpingo
Umejitahidi sana mtani ila kojo unalo mwilini unahangaika nalo.Walipokupiga kisiki na kukumwagia kule kwao mpaka mwakani ndio utakuwa ushazaa!
 
Back
Top Bottom