Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajaribu puri huenda akaenjoi 😁Labda wewe sio shabiki wa mpira mkuu.
Dah, nami nahamia huko huko mkuu, ila naamini Suarez atawapa kombe, saa moja inakaribia.Simba kaniharibia siku mamama mae, hawa atletico sijui nao watanipa panadol au ndio mwendo wa kupigilia msumali wa moto kwenye donda [emoji34]
Usisahau uchoyo wa boko.Ukundu wa Mugalu umetucost
Magalu auzwe,aachwe au atolewe kwa mkopo atuondokee.Ukundu wa Mugalu umetucost
Utopoloz walijua simba wanapigana 3 bilaKuna watu wamechaniwa mikeka hapa😁😁