John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,374
Mchezo umemalizika, Chama anakabidhiwa mpira kwa kufunga hat trick.
Full Time
Zinaongezwa dakika 3 za nyongeza
Dk 90: Simba wanapiga pasi na kuumiliki mchezo.
Dk 87: Mchezo umepungua kasi, Ruvu ni kama wamekata tamaa.
Dk 82: Kocha wa Ruvu, Charles Mkwasa anaonekana kuwa katika masikitiko.
Dk 80: Ruvu wanacheza kwa kasi ndogo.
Dk 76: Kipa wa Ruvu, Nitoko anamchezea faulo Mwanuke, inakuwa faulo kuelekea Ruvu.
Chama anafunga bao la saba na la tatu kwake katika mchezo huu.
Dk 72: Goooooooooooooooooo
Dk 70: Jimmy Mwanuke anapata pasi nzuri kutokw kwa Chama na kufunga bao la sita.
Gòoooooooooooooooo
Dk 67: Simba wanapanga mashambulizo taratibu.
Dk 65: Ruvu wanapata faulo nje ya 18 lakini wanashindwa kutumia vizuri.
Dk 60: Simba wamepunguza kasi ya kushambulia na hiyo inawapa nafasi Ruvu kufika langoni kwa Simba.
Dk 55: Ruvu wanatengeneza nafasi kadhaa lakini wanakosa umakini katika umaliziaji.
Dk 50: Simba wanautuliza mchezo
Dk 48: Ruvu wameanza kwa kutulia tofauti na kipindi cha kwanza
Kipindi cha pili kimeanza.
Mapumziko: Simba wanaongoza kwa mabao 5-0
Gooooooo, Ruvu Shooting wanajifunga.
Dk 42: Mambo ni magumu kwa Ruvu
John Bocco anafunga bao la nne kwa Simba.
Dk 39: Goooooooooo
Dk 27: Chama anaipatia Simba bao la tatu.
Dk 26: Ruvu ni kama wanapoteana.
Dk 25: Chama anaipatia Simba bao la pili baada ya kuwapindua mabeki wa Ruvu.
Dk 12: Ruvu wameamka na kuanza kujipanga, wanafanya shambulizi kali inakiwa kona.
Dk 5: Simba wanafanya shambulizi kali.
John Bocco anaipatia Simba bao la mapema
Dk 2: Goooooooooo
Dk 1: Simba wanaanza kwa kasi
Mchezo umeanza
Mchezo unatarajiwa kuanza saa 1:00 Usiku.
Simba wameshatangaza kikosi chao kwa ajili ya kuivaa Ruvu Shooting katika mchezo wa Raundi ya Tano ya Azam Sports Federation Cup kwenye Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam.
Full Time
Zinaongezwa dakika 3 za nyongeza
Dk 90: Simba wanapiga pasi na kuumiliki mchezo.
Dk 87: Mchezo umepungua kasi, Ruvu ni kama wamekata tamaa.
Dk 82: Kocha wa Ruvu, Charles Mkwasa anaonekana kuwa katika masikitiko.
Dk 80: Ruvu wanacheza kwa kasi ndogo.
Dk 76: Kipa wa Ruvu, Nitoko anamchezea faulo Mwanuke, inakuwa faulo kuelekea Ruvu.
Chama anafunga bao la saba na la tatu kwake katika mchezo huu.
Dk 72: Goooooooooooooooooo
Dk 70: Jimmy Mwanuke anapata pasi nzuri kutokw kwa Chama na kufunga bao la sita.
Gòoooooooooooooooo
Dk 67: Simba wanapanga mashambulizo taratibu.
Dk 65: Ruvu wanapata faulo nje ya 18 lakini wanashindwa kutumia vizuri.
Dk 60: Simba wamepunguza kasi ya kushambulia na hiyo inawapa nafasi Ruvu kufika langoni kwa Simba.
Dk 55: Ruvu wanatengeneza nafasi kadhaa lakini wanakosa umakini katika umaliziaji.
Dk 50: Simba wanautuliza mchezo
Dk 48: Ruvu wameanza kwa kutulia tofauti na kipindi cha kwanza
Kipindi cha pili kimeanza.
Mapumziko: Simba wanaongoza kwa mabao 5-0
Gooooooo, Ruvu Shooting wanajifunga.
Dk 42: Mambo ni magumu kwa Ruvu
John Bocco anafunga bao la nne kwa Simba.
Dk 39: Goooooooooo
Dk 27: Chama anaipatia Simba bao la tatu.
Dk 26: Ruvu ni kama wanapoteana.
Dk 25: Chama anaipatia Simba bao la pili baada ya kuwapindua mabeki wa Ruvu.
Dk 12: Ruvu wameamka na kuanza kujipanga, wanafanya shambulizi kali inakiwa kona.
Dk 5: Simba wanafanya shambulizi kali.
John Bocco anaipatia Simba bao la mapema
Dk 2: Goooooooooo
Dk 1: Simba wanaanza kwa kasi
Mchezo umeanza
Mchezo unatarajiwa kuanza saa 1:00 Usiku.
Simba wameshatangaza kikosi chao kwa ajili ya kuivaa Ruvu Shooting katika mchezo wa Raundi ya Tano ya Azam Sports Federation Cup kwenye Uwanja wa Mkapa Dar es Salaam.