Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
We Shadeeya unapendwa sana humu na unaongea vizuri sana, huna dharau wala lugha kali.[emoji3][emoji3]
Bahati mbaya mimi sielewi jinsia yako, hivi wewe ni mwanamke au mwanamme. ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Shadeeya unapendwa sana humu na unaongea vizuri sana, huna dharau wala lugha kali.[emoji3][emoji3]
🤣🤣🤣🤣We Shadeeya unapendwa sana humu na unaongea vizuri sana, huna dharau wala lugha kali.
Bahati mbaya mimi sielewi jinsia yako, hivi wewe ni mwanamke au mwanamme. ?
Mimi ni Ke Mkuu.We Shadeeya unapendwa sana humu na unaongea vizuri sana, huna dharau wala lugha kali.
Bahati mbaya mimi sielewi jinsia yako, hivi wewe ni mwanamke au mwanamme. ?
Simba ya sasa uwezo wa kumfunga mtu hata goli 3 hawana!
Watanzania ni wepesi kusahau..nimajuzi hapa simba imeshindwa kufurukuta baina ya timu iliyo pungufu ...ikawatumia washambuliaji wake woooote lakini wapi hawakupata hata goli moja!...
Hebu tutafakari.
Akikujibu usisahau kuni tag mkuukwani jana imeshinda goli ngapi we nijibu tu hata kama una maumivu
Mabingwa wa nchi wanapiga kazi jirani ananuna. Sijui yeye alizuiwa kupiga kazi🤣kwani jana imeshinda goli ngapi we nijibu tu hata kama una maumivu
Safi sana, uko vizuri sana karibu chai ya maziwa.Mimi ni Ke Mkuu.
Huyu jamaa ana wivu wa kike. Simba wamemjaza mtu wiki ya magoli hasemi anaongelea kujaa kwa sever ya JF 😄Mbona simba wanavyojaza magoli husemi?
Ke kama ke 😋😋Mimi ni Ke Mkuu.
Ke kama ke 😋😋