FULL TIME: Ruvu Shooting 0-7 Simba, Uwanja wa Mkapa, ASFC

FULL TIME: Ruvu Shooting 0-7 Simba, Uwanja wa Mkapa, ASFC

Kwanini wanakua kama wana support mashabulizi yaende langoni kwao?
simba hii uwezo wa kutawala mpira kiasi hiki hawana. au ni waamuzi maana pia hata faulo nyingi zinaelekezwa kwa ruvu..
Pole sana mkuu, umeandika kwa uchungu sana, na inaelekea hukujiandaa kabisa kupokea matokeo ya namna hii, nahisi matokeo yaliyokuwa kichwani mwako ni kwamba Simba anaenda kupoteza mechi hii
Umeanza kuwashutumu Ruvu, ukaja kuwadharau Simba, ukamalizia kuwalaumu waamuzi! Pole sana, siku na wiki hii imekuwa mbaya kwako
 
Kama kutakuwa na mechi ya ligi kuu kati ya simba na ruvu nadhani ifanyike tu busara kwa kukaa chini na viongozi wa TFF pamoja na bench la ufundi la ruvu


Mechi isichezwe badala yake yaje matokeo moja kwa moja yani wapendekeze wajichagulie aina ya kipigo japo nawashauri wachague kufungwa moja bila

Kuliko kuruhusu mechi ikachezwa halafu mwisho wa siku baada ya mechi tukashindwa kuangaliana usoni
 
Namshauri bro. Mkwasa ajiuzulu hii kazi ASAP. Huu ni uharibifu mkubwa wa CV yake.
Kwani hakuna kazi zingine bro. Fanya hata biashara.
 
Jamani kipa wa nini mchezo kama huu?

Aanhaa kumbe ni sheria basi kama hivyo angeingia hata na headphone ili asiwe mpweke pale golini
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mechi ya hovyo
Haya maafande au wezi?
maafande wenyewe ndio kama uyo muongoza njia hapa 👇👇👇👇

8697CC57-30E0-4BA5-B0FA-B2D057EF2CE7.jpeg
 
Roovu wanacheza mpira wa kitoto saana na simba bado saana subirini kwenye league ndo mutamini simba bado mbovu
 
Simba ya sasa uwezo wa kumfunga mtu hata goli 3 hawana!
Watanzania ni wepesi kusahau..nimajuzi hapa simba imeshindwa kufurukuta baina ya timu iliyo pungufu ...ikawatumia washambuliaji wake woooote lakini wapi hawakupata hata goli moja!...
Hebu tutafakari.
 
Simba ya sasa uwezo wa kumfunga mtu hata goli 3 hawana!
Watanzania ni wepesi kusahau..nimajuzi hapa simba imeshindwa kufurukuta baina ya timu iliyo pungufu ...ikawatumia washambuliaji wake woooote lakini wapi hawakupata hata goli moja!...
Hebu tutafakari.
Ilikamiwa
 
Ha haaaaa haaa.

Ruvu kapapasa mpk mikono imekufa ganzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom