Ulikuwa unamaanisha simba....
Leo wanapigwa kama kawaida
Man City kapigwa Goli 4 hadi sasa na Totternham akifungwa Moja tu...
Totternham katokea nyuma na kumpiga Nne
Zomea zomea nyingi sana
Upo sahihi kweli
Alimaanisha yeboyebo
hao yebo yebo bado hawajafungwa tu mpka sa hizi... leo wanabana ila lazima wataachia