Full Time: Simba 0-2 Yanga Taifa 26/9/2015

Ila jamani usajili wa Tambwe tumelamba dume,simpatii picha kivuyo leo akiripoti kutoka uwanja wa taifa!
 
Tatzo simba wanakamia game sana, ndio shida hiyo , Yanga wamerelax km hawapo uwanjani
 
Yanga wasibweteke. wenzao Man City leo walitangulia kuifunga Spurs lakini mwishowe wamenyeshewa misimu 4 ya magoli.

mpira ni filimbi ya mwisho (na si dakika 90).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…