Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Uwiii leo raha zimenizidia, nashangilia bado ushindi kwenye kiwanja fulani hahaahahaaa.
Simba vepeee?
Msaga sumu ule wimbo wa Yanga anaimbaje etiiiiii hahahahhaaaa, siamini niko hapa mpk muda huu, habari ndiyo hiyoooooooo, piga keleleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
#teamyanga#
Ohhh nifah I love u, marry me on October 26th tutakapokuwa tunapiga doubleHuna jipya,umepakatwa huko naona umeamua kuporomosha mitusi...mie walaa nafurahi tu maana huu mwaka ni wangu.
Hii ni Yanga tu,jiandae kwa Lowassa hapo October ndio utawehuka kabisa.
Naskia leo gongo na mataputapu zimeisha haraka kwenye grosari za pombe za kienyeji, Wanayanga wanashangilia ushindi
Simba ikifungwa leo ntajiuzulu rasmi kushabikia mpira kwa heshima.
Kweli ukiwa umelewa si vizuri kutoa ahadi,nimefanya utafiti na tathmini nimegundua ahadi yangu haitekelezeki.Natengua kauli.Vp mkuu umetimiza ahadi?
Vipi hawa jamaa waligoma kuungiza timu hiyo jana?
Dada hongereni sanà kwa ushindi jàna
Dada hongereni sanà kwa ushindi jàna
Ohhh nifah I love u, marry me on October 26th tutakapokuwa tunapiga double
kwa mwendo huu wa yanga hadi ubingwa