Full Time: Simba 0-2 Yanga Taifa 26/9/2015

Full Time: Simba 0-2 Yanga Taifa 26/9/2015

Wewe popoma GENTAMYCINE acha mbwembwe zako hizo za kizamani,nani asiyewajua wana msimbazi kwa maneno?
Mpira ungekuwa unachezwa nje ya uwanja basi hakika Simba wangekua ndio Mabingwa wa kihistoria ila kwakua mpira ni uwanjani basi wanaume wa shoka Dar Young Africans S.C ndio kubwa lao katika historia ya mpira ya Tanzania.
 
Last edited by a moderator:
Wewe popoma GENTAMYCINE acha mbwembwe zako hizo za kizamani,nani asiyewajua wana msimbazi kwa maneno?
Mpira ungekuwa unachezwa nje ya uwanja basi hakika Simba wangekua ndio Mabingwa wa kihistoria ila kwakua mpira ni uwanjani basi wanaume wa shoka Dar Young Africans S.C ndio kubwa lao katika historia ya mpira ya Tanzania.

Ahahah Nifah Tulia,tunawaweka Tu..Sisi Ndo Simba Hatung'ati Na Kupuliza Kama Panya,tunang'ata,tunatafuna Na Tunameza...
 
Last edited by a moderator:
Simba IKIFUNGWA Leo Naweka Hadharani Nanihiii Something Yangu Ikatwe Vipande Vipande. Na Mshukuru Sana Huyo Mganga Wenu Mzee Majid Wa Pemba Kaweza Kujitahidi Kupunguza Idadi Ya Magoli Kutoka Goli 7 Tulizopanga Kuwafungeni Leo Na Badala Yake Tutawafunga Goli 2 - 0 au 1 - 0. Mchezo Tumeshaumaliza Alfajiri Ya Leo Na Wale Makomandoo Wa Yanga Watawaambieni Tulichowafanya Usiku Wa Saa 8 Leo Pale Taifa Mpaka Wakaomba Msaada Wa Police. Leo Tusipowafunga Hayo Magoli Niliyowaambieni Hapo Naandika Rasmi Barua Ya Kujitoa Ktk Kamati Ya UFUNDI Ya Simba Sports Club. Na Yanga Mlivyo Na Matatizo Leo Mzigo Wote ( HIRIZI ) Mmempa Beki Wenu Wa Kushoto Haji Mwinyi Na Sisi Baada Ya Kulijua Hilo Nasi Tumefanya KAFARA La Kufa Mtu Na Mkifanya Mzaha Leo Wana Yanga Mtawabeba Wengi Mno Taifa Kwa Kuzimia Na Hata Kufa Kabisa. Simba Sasa Hivi HATUTANII Kwani MAMBO Ya KIUFUNDI Tunayafanya Kwa UHAKIKA. Nawakumbusheni Tu Kuwa Baada Ya Mechi Msisahau Kukumbuka Kwenda Kumfukua Huyu Mzee Wenu Idrisa Mliyemzika Nusu Bagamoyo Kwani Saa 12 Maji Ya Bahari Yanaanza Kurudi Na Kujaa. Nisalimieni Sana Mchawi Wenu Mkubwa Mzee Bhinda Na Mwambieni Kuwa Gentamycine Namwomba Baada Ya Mechi Tu Aje Mango Garden Nimtoe Mawazo Ya Kufungwa Na Mnyama. Otherwise Tunamshukuru Mno Beki Yenu Namba 4 Kwa Kutusaidia KUFANIKISHA TULICHOKITAKA Kwenu Japo MLIJIFANYA KUMNYANG'ANYA SIMU Lakini Kwa UMAFIA Wa Simba TULIWEZA KUFANYA Nae MIKAKATI Na Tumeshamalizana Nae Na Kuna UWEZEKANO Kati Yake Yeye au Mtoto Wa Kagame Mido Mmoja Wapo AKACHEZA RAFU YA MAKUSUDI Ili Atolewe Mnyama TUMALIZE MECHI Mapema. Poleni Sana MAKOMANDOO Wa Yanga Mliojifanya MNALINDA Uwanja Leo USIKU Na Hicho TULICHOWAFANYIENI Mkawasimulie Na Wanayanga Wenzenu. Bado Azam Na Wao!

pumba tupu,,,we kiazi kweli kweli
 
Duh Mkuu Mbona Tupo Pamoja Kila Sehemu,tupo Wote Ccm Tupo Wote Simba Inasemekana Tupo Wote Chelsea!

We Koma! Ulaya Mimi Nipo " Ze Majanga Team " Liverpool FC. Tunangojea Leo Tufungwe ILI Tumsindikize Brendan Rodgers Kwa BAKORA Kama Ambavyo Leo Yanga FC Wanaenda KUWAFUKUZA Akina Van Pumbu Na Mikasa.
 
Mwenye link ya kustream tafadhari aweke .

Streams Zote Zimeelekezwa Ktk Mikutano Ya Kampeni Na Stream Pekee Iliyobakia Ni Ya Wewe Kujipigapiga MFUKONI Utoe Buku Saba Yako Utinge Uwanjani Upate Live Streaming.
 
Leo ni ile siku nzuri ya kulipa kisasi kwa Zile 6 za Kibadeni na Zile 5 za Okwi...Yaani leo mnyama hatoki
 
Mambo vipi mkuu chickmaget?Umepotea sana.
Leo uko upande gani?Mikia au Mabingwa wa kihistoria wa nchi hii Young Africans S.C?
Nategemea utakuwa umejiandaa kisaikolojia na kipigo cha Leo.
 
Last edited by a moderator:
Leo Yanga lazima chamoto wakione tena itabidi wafungwa tano bila kabisa mnyama simba ni kiboko
 
Back
Top Bottom