Roboti Wa Nape
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,174
- 2,876
We mwarabu Koko. Refa kachezesha vizuri. Hayo maarabu yanatuoneaga kila siku. ππππTokea ziongezwe zile dakika 7 hakuna mchezaji yeyote aliyedondoka chini mpira muda wote ulikuwa unachezwa. Refa ameibetia Simba
Labda kama umebebwa wewe na mkeo ila Simba tumeshinda kwenye mechi.Ila tumebebwa na refa pia wachezaji wamecheza mchezo mbaya
Kama kubebwa rahisi bebweni na nyieDada mkuu mbumbumbu unafurahia kubebwa
Kwenye zile dakika 7 za nyongeza kuna tukio gani lililotokea la kupoteza muda hadi refa aendelee tu kuchezesha hadi dakika ya 8 kwenda 9?Acha tubebwe kwnai hujui hujuma za waarabu?? Ww refa ana akili usifikiri yy mjinga..kama wanapoteza muda bure yy afanyaje...
Kuna Moja kagongwa kichwa anavuja tu midamuu tuKimsingi wanatakiwa watoke uwanjani wakiwa na ngeu hao waarabu. Mapumbavu kabisa.
Hujui sheria mpya za mpira mzee unakumbuka haya mambo yameanzia word cup? huwezi kupoteza mpira dakika za nyongeza tunazihesabia........endeleeni kumeza vidonge vya preshaRefa kashinda. FIFA na CAF waiangalie hii issue ya marefa kutokuheshimu muda halali wa mchezo na kuamua wanavyoona wao vinginevyo uhuru wa marefa unaweza kusababisha malalamiko kwa timu ambazo zinafungwa baada ya muda rasmi wa nyongeza kuisha.
Kwenye hizo dakika zilizoongezwa wao sifakingi π walifungwa miguu hadi useme refa kaibetia Simba? Acha uagrey mkuundugu yanguTokea ziongezwe zile dakika 7 hakuna mchezaji yeyote aliyedondoka chini mpira muda wote ulikuwa unachezwa. Refa ameibetia Simba
Marefa wanapangwa na CAF,Haya mambo siyo, mnarudisha nyuma soka letu na kutia aibu Taifa.
Kulikuwa na haja gani ya kuchelewesha kumaliza mpira? Refa kanunulika waziwazi.
Sawa mkuu Uto watavuka maana hata Ali Kamwe aliahidi kuwa watavuna points 12 ila jana wamedondosha 2 so bado wanandoto ya kusonga mbele ππunatesekaYanga ana timu imeshuka ila angalau unaona structure yao na naamini anavuka
ukiwa wapi ndugu?Kusonga mbele au kusonga mbeleko?
Limekushika pabaya hilo liachieAlaaaaa!π₯³
Sawa Sheikh Yahaya....Sema mnashinda kimiujiza Sana Simba Kuna sehemu mtafika hii miujiza itakwama
Na akikwea juu tena,kumshusha watafanya kazi sanaUle wimbo wa ALIKIBA.....unaimbwa ivi...SIO LEO TOKA ZAMANI MNYAMA HANA MPINZANI....βΊοΈβΊοΈβΊοΈπ π ππ
Simba will always be SIMBA