Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Huyu tuwauzie Yanga.Mpanzu anaingia atakngeza timu namuonea huruma Mutale anahitaji saikolojia zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu tuwauzie Yanga.Mpanzu anaingia atakngeza timu namuonea huruma Mutale anahitaji saikolojia zaidi
Ile move mimi niliiona kabisa inaenda kuwa goli, sababu badala ya kucheza wenyewe wakawa wanasubiri refa apige filimbi, kupuliza filimbi hiyo siyo kazi yao, ni ya refa. Wamepata walichokitafuta wanapaswa kutulianaskia refa kaleta mambo ya kayoko
Tena watuache kabisa sisi Simba. Kwani huwa tunawaomba Marefa watubebe, si wao ndio wanajipendekezaUnashangaa dakika 2 kuongezwa!
Unaangaliaga mpira kweli
Unateseka sana mkuuHakuna uzuri wowote kaonesha wazi wazi kuwa kaibetia Simba. Mchezaji wa CS Sfaxien alikuwa kachezewa faulo na Melon lakini alifanikiwa kuwin mpira na alikuwa anaenda kufunga kwanini hakuacha advantage pale badala yake kaona Che Melon kaachwa kapuliza kipyenga cha faulo na kumpa che Melon kadi ya njano wakati alikuwa ni mtu wa mwisho aliyezuia goli kufungwa.
Kaongeza dakika 7 bado haitoshi, hakuna tukio lolote la mpira kusimama kwenye hizo dakika lakini hakuridhika mpaka aone Simba inapata goli ili mkeka utiki
Unateseka ukiwa wapi we 🐸?Hamuoni aibu hili gori la kubebwa
Unalalamikaaa utadhani timu ya baba yako imefungwa, acha ubwege wewe waarabu watakusaidia nini? Wala hawakujuiHakuna uzuri wowote kaonesha wazi wazi kuwa kaibetia Simba. Mchezaji wa CS Sfaxien alikuwa kachezewa faulo na Melon lakini alifanikiwa kuwin mpira na alikuwa anaenda kufunga kwanini hakuacha advantage pale badala yake kaona Che Melon kaachwa kapuliza kipyenga cha faulo na kumpa che Melon kadi ya njano wakati alikuwa ni mtu wa mwisho aliyezuia goli kufungwa.
Kaongeza dakika 7 bado haitoshi, hakuna tukio lolote la mpira kusimama kwenye hizo dakika lakini hakuridhika mpaka aone Simba inapata goli ili mkeka utiki
What a point from a genius utopolo mr kenzy...Nidhamu ya waarabu imewaponza, toka awali walikuwa wanacheza kwa mbinu zao za kujiangusha mara waingize mipira miwili miwili na nafikiri walimjibu refa vibaya!, nashuku walimtukana sasa nayeye akaamua atumie mamlaka yake!.
kuongeza dakika 7 haikuwa shida ila kwenye nyongeza kaongeza zikafika 9, na ubovu goli limepatikana ktk dakika ambazo hazikuwa zile saba!.
Naweza sema refa kaishi usemi wa simba yani "Ubaya ubwela!"...🤣
Oni langu..
Ni muda sasa timu za kaskazini haswa waarabu wabadilishe nidhamu za uchezaji wao, figisu figisu za ajabu zitakuwa zinaleta tafrani kwa wapinzani na hata refa kama ilivyojitokeza hivi leo.
CAF wamekuwa wakiwalea hawa waarabu nafikiri waongee nao.
Ilipofika dakika ya 90Unashangaa dakika 2 kuongezwa!
Unaangaliaga mpira kweli
😂😂😂 Warabu kidogo wamuue kama siyo kusaidiwa alikua anakufa pale uwanjani leoRefa anakamgongo kweli ka kumbeba Simba mkuu?
Nakwambia ukweli kwa mchezo huu simba hatuendi popoteJipige kifuani mkuu sema mimi sijui mpira.
Watfaungiwa hao soon na mashabiki wao na watapewa adhabu😂😂😂 Warabu kidogo wamuue kama siyo kusaidiwa alikua anakufa pale uwanjani leo
Futa matokeo mkuu. Yafanye yawe 1-1.Hakuna uzuri wowote kaonesha wazi wazi kuwa kaibetia Simba. Mchezaji wa CS Sfaxien alikuwa kachezewa faulo na Melon lakini alifanikiwa kuwin mpira na alikuwa anaenda kufunga kwanini hakuacha advantage pale badala yake kaona Che Melon kaachwa kapuliza kipyenga cha faulo na kumpa che Melon kadi ya njano wakati alikuwa ni mtu wa mwisho aliyezuia goli kufungwa.
Kaongeza dakika 7 bado haitoshi, hakuna tukio lolote la mpira kusimama kwenye hizo dakika lakini hakuridhika mpaka aone Simba inapata goli ili mkeka utiki
nimefarijika sana my love..nilifikiri upo dodomaNzuri kipenzi...
Yani leo nawaita vipenzi wana simba woteee
Ww mbona kama unaumia sana sir..yani sisi hautuambii kitu...Nakwambia ukweli kwa mchezo huu simba hatuendi popote
Ofcoz maamuzi ya refa ndio ya mwisho ila simba tumepoteza nafasi nyingi za Kufunga timu mbovu sanaAcha tubebwe kwnai hujui hujuma za waarabu?? Ww refa ana akili usifikiri yy mjinga..kama wanapoteza muda bure yy afanyaje...
Nimetoka kidogo Dom kipenzi...hahahahah mbona simba raha sananimefarijika sana my love..nilifikiri upo dodoma
anyway wacha nitazama namna ya kumuona wakala kuinogesha dominika ya leo kwako