Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Unateseka sana mkuu

Pole yako πŸ˜‚
 
Kuna Zile Hesabu za shule tulikuwa Tunasoma zimaitwa sijui mlinganyoo..

Naona Hapa Ni 4 halafu ikiwa na GD YA -4


Naona Hapa Inazidi Kungara tu..


Any wei sijui hata Nilitaka Kusema Nini 🀣🀣🀣

Hizi Pombe Hizi 🀣🀣🀣 Furaha Tu
 
Unalalamikaaa utadhani timu ya baba yako imefungwa, acha ubwege wewe waarabu watakusaidia nini? Wala hawakujui
 
What a point from a genius utopolo mr kenzy...
Bora ww unaangalia mpira kwny angle tofauti...
 
Futa matokeo mkuu. Yafanye yawe 1-1.
 
Acha tubebwe kwnai hujui hujuma za waarabu?? Ww refa ana akili usifikiri yy mjinga..kama wanapoteza muda bure yy afanyaje...
Ofcoz maamuzi ya refa ndio ya mwisho ila simba tumepoteza nafasi nyingi za Kufunga timu mbovu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…