Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Wewe ligi ya mabingwa umeshinda mechi ngapi mpaka sasa halafu nipe na msimamo wa kundi lenu
Nakuuliza ungekuwa ligi ya mabingwa ungeambulia ata point Moja? Ungemfunga nani kwa Mpira huo,,unacheza na timu dhaifu dhaifu na bado unatoa ulimi nje vipi ungekuwa kwa wanaume
 
Goli la counter attack maana yake na wenyewe walikuwa wanashambulia, vipi wangefunga
 
Nakuuliza ungekuwa ligi ya mabingwa ungeambulia ata point Moja? Ungemfunga nani kwa Mpira huo,,unacheza na timu dhaifu dhaifu na bado unatoa ulimi nje vipi ungekuwa kwa wanaume
Msimu uliopita mpaka nafika robo fainali niliambulia point ngapi? shanga mbili fc aka mwiko nyuma 🤣
 
Msimu uliopita mpaka nafika robo fainali niliambulia point ngapi shanga mbili fc aka mwiko nyuma 🤣
Kwa kiwango kipi icho,,kikombe unachocheza yanga kacheza fainali msimu juzi sasa wewe kama makundi tu ni mtihani Tena ukiwa nyumbani kwako sasa utaweza kufanya kile alichokifanya yanga?
 
Nakwambia ukweli kwa mchezo huu simba hatuendi popote
Huendi wewe na nani? Angalia statistics zote zinaibeba simba kuanzia shots on target mpaka possession.
Halafu kwani dakika za nyongeza wale walifungwa miguu? Kwa nini wapoteze muda kipumbavu vile?
Simba deserves win in this match. Huwezi kuvumilia angalia marudio yanga vs tp mazembe uangalie mlivyoponea chupuchupu kudondosha point tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…