Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

Hakuna uzuri wowote kaonesha wazi wazi kuwa kaibetia Simba. Mchezaji wa CS Sfaxien alikuwa kachezewa faulo na Melon lakini alifanikiwa kuwin mpira na alikuwa anaenda kufunga kwanini hakuacha advantage pale badala yake kaona Che Melon kaachwa kapuliza kipyenga cha faulo na kumpa che Melon kadi ya njano wakati alikuwa ni mtu wa mwisho aliyezuia goli kufungwa.

Kaongeza dakika 7 bado haitoshi, hakuna tukio lolote la mpira kusimama kwenye hizo dakika lakini hakuridhika mpaka aone Simba inapata goli ili mkeka utiki
Acha kujiliza kenge wewe. Haya kachezeshe wewe. 😄😄😄
 
Ajabu Utopolo mnateseka kwa uhasidi. JANA mechi iliisha dakika ya 95 hakuna aliyezungumza mkachomoa.Leo utafikiri nyie ndio mnacheza.
Jifunzeni sheria dakika zinazoonyeshwa ni minimum.Refa ana stopwatch mpira ukisimama na yeye anasimamisha saa yake.
Sishangai kwani mumewekeza kwenye majungu.
 
Nafikiri Simba mnaiangalia mechi ya bravos na Constantine saizi,,huu ndio Mpira sasa waarabu wanapelekewa moto na tiyali chuma 2 washagongwa jiandaeni kisaikolojia na timu yenu iyo ya ungaunga mwana
 

Attachments

  • Screenshot_20241215-192452.png
    Screenshot_20241215-192452.png
    185.6 KB · Views: 2
Kundi la SImba bado nni gumu sana pamoja na kuwa la timu zisizojulikana kama Sfaxien, Constantin na Bravos. Kwenye grupu hilo timu inayojulikana ni Simba tu; hizo nyinine zote ni za uchochoroni. Mpaka sasa wote wana point 6 kasoro Sfaxien mwenye point 0.

1734279902532.png
 
Kama wamecheza hovyo kwa takwimu hizi, siku wakicheza vizuri itakuwaje?
Takwimu zinacheza Mpira? Umetawala takwimu kwakuwa ndio Mpira wa kiafrika timu ikiwa ugenini inataka ijilinde tu na kumwachia mwenyeji Mpira but sio kwamba ndio ubora usijitoe ufahamu!
 
Back
Top Bottom