Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
🤣❤️🤭Wenye wivu wajinyonge in Saida karoli voice 😅😅😂😂☺️☺️😊😊
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣❤️🤭Wenye wivu wajinyonge in Saida karoli voice 😅😅😂😂☺️☺️😊😊
Pole naona anafungwa Mwarabu unateseka wewe Utopolo
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂 Chief kuna timu hapo inapiga hesabu za 'tuki' 'waki'
Acha kujiliza kenge wewe. Haya kachezeshe wewe. 😄😄😄Hakuna uzuri wowote kaonesha wazi wazi kuwa kaibetia Simba. Mchezaji wa CS Sfaxien alikuwa kachezewa faulo na Melon lakini alifanikiwa kuwin mpira na alikuwa anaenda kufunga kwanini hakuacha advantage pale badala yake kaona Che Melon kaachwa kapuliza kipyenga cha faulo na kumpa che Melon kadi ya njano wakati alikuwa ni mtu wa mwisho aliyezuia goli kufungwa.
Kaongeza dakika 7 bado haitoshi, hakuna tukio lolote la mpira kusimama kwenye hizo dakika lakini hakuridhika mpaka aone Simba inapata goli ili mkeka utiki
Wana changamoto ya akili.Ni wawili tu.Utopolo akipata goli la dakika ya nne ya nyongeza sawa! Simba akipata refa kapendelea..mnaumia mkiwa wapi..maana amefungwa mwarabu anatumia Uto
Like wise toboa kwenye hilo kundi tujue na wewe unaifukuzia record ya simba.Kumbe wewe una wazimu eti,,kucheza na kuishia robo robo kikombe cha akina mama wenzako wamecheza fainali,,kama unauwezo kacheze iyo fainali tukuone kama unatoboa kwa timu yako iyo
Refa kawabebaje?Kibu alikuwa offside? dakika ziliongezwa kwa Simba tu?Mchezo wa simba haujanifuraisha japo tumepata ushindi wa kubebwa na refa
Chai ya moto, kikombe cha bati.Ila Kibu anawafaidi sana Waarabu
Tunatoboa we tulia utaona usichokitegemeaLike wise toboa kwenye hilo kundi tujue na wewe unaifukuzia record ya simba.
Hapo uto habari imeishia hapo kibonde wa kundi.
Nimeikumbuka tume ya uchaguziMnategemea kubebwa na kina ndaragige haya ndio matokeo yake Sasa 😆😆
Mimi ni simba ila kweli refa katubeba😂
Kama wamecheza hovyo kwa takwimu hizi, siku wakicheza vizuri itakuwaje?Ila tumebebwa na refa pia wachezaji wamecheza mchezo mbaya
Takwimu zinacheza Mpira? Umetawala takwimu kwakuwa ndio Mpira wa kiafrika timu ikiwa ugenini inataka ijilinde tu na kumwachia mwenyeji Mpira but sio kwamba ndio ubora usijitoe ufahamu!Kama wamecheza hovyo kwa takwimu hizi, siku wakicheza vizuri itakuwaje?
HAya naomba msimamo wa kundi lako mwaka huuKwa kiwango kipi icho,,kikombe unachocheza yanga kacheza fainali msimu juzi sasa wewe kama makundi tu ni mtihani Tena ukiwa nyumbani kwako sasa utaweza kufanya kile alichokifanya yanga?
Mkiwatoa meno mkienda kwao watakutoeni kinyeo.Please kama mpo uwanjani tufikishieni salamu kwa hao waarabu.
Watoeni meno kama walivyotoa viti vyetu.