Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Kusonga mbele au kusonga mbeleko?kusonga mbele 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusonga mbele au kusonga mbeleko?kusonga mbele 😂😂
Kimsingi wanatakiwa watoke uwanjani wakiwa na ngeu hao waarabu. Mapumbavu kabisa.Wasengee Hawa watotooooo na bado wanavunja viti vyetu nimependa Kuna jamaa wa Simba kamgonga kichwa murabuuu midamuu inapamwagika tu
mwarabu koko anajikuta mzalendo wa algeria vijijini huko.Pole mwarabuu
Limekushika pabaya hilo liachieAlaaaaa!🥳
Jipige kifuani mkuu sema mimi sijui mpira.Ila tumebebwa na refa pia wachezaji wamecheza mchezo mbaya
Hata jana Yanga wamerudisha kwenye dkk za nyongeza.Haya mambo siyo, mnarudisha nyuma soka letu na kutia aibu Taifa.
Kulikuwa na haja gani ya kuchelewesha kumaliza mpira? Refa kanunulika waziwazi.
Kibu teenaNani kafunga kipenzi?
Sasa vyura wameingiaje hapa?😀😀😀Vyuraa haooooo haoooooo haoaooooo
Acha tubebwe kwnai hujui hujuma za waarabu?? Ww refa ana akili usifikiri yy mjinga..kama wanapoteza muda bure yy afanyaje...Ila tumebebwa na refa pia wachezaji wamecheza mchezo mbaya
Tokea ziongezwe zile dakika 7 hakuna mchezaji yeyote aliyedondoka chini mpira muda wote ulikuwa unachezwa. Refa ameibetia SimbaWaarabu wanajuangusha sana acha afidie muda
Mtani tuvumiliane tuu jamani hahahaSasa vyura wameingiaje hapa?😀😀😀
Dada mkuu mbumbumbu unafurahia kubebwaVyuraa haooooo haoooooo haoaooooo
Shangaaa hawana hojaHata jana Yanga wamerudisha kwenye dkk za nyongeza.
Kuna machine inayochezwa dkk 90 kamili!!!?
Shhhwaaaaahhh
Ya kwako ina pointi ngapi?Michezo mitatu pointi moja ngebe kibao.Umechukia kameze wembe au jinyonge.hakuna timu hapo
Wapuuzi hao, kwa wao hawakuwa wanacheza?Uwanjani ni vurugu hapa, Refa ameshambuliwa walinzi wanamuokoa, Mashabiki wa Sfaxien wanavunja na kung'oa viti vya Uwanja wa Taifa
Hii nadhani ni baada ya refa kuchelewa kumaliza mpira dakika ya 99 badala ya 97