OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
-
- #61
Simba 1Si tunataka mambo ya simba, wengine hatuoo kwenye TV
Indeed.Safi sana ila wapunguze kukosa magoli ya wazi hii mechi tunatakiwa kushinda gali hata 5 kwa uhakika zaidi.
Morrison anapiga kazi kinomaMorison kafanyaje uko?
Dah kaaribu au?
DohAl ahly naye katupia lapili
Mkongo anajuta kupata sare MisriUku Al ahly anauwa mtu
Nenda facebookWazzee wa live stream ebu tupien link
Mnyama kwenye ubora wake25' Simba 1 - 0 Al Merrick
Kabisa mkuu, hili kundi gumu GD ni muhimuInabidi tuwachangamkie tuwapige nying harakaharak kbl hawajachangamka