OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Timu ya Mpira wa Miguu ya Simba SC leo itakuwa na kibarua cha kumenyana na timu ya Al Merrikh kutoka nchini Sudan katika dimba la Benjamin Mkapa. Mchezo wa kwanza uliopigwa Uwanja wa Al Hilal nchini Sudan, timu hizi zilitoshana nguvu kwa kutofungana.
Kikosi cha Simba SC kitakachoanza leo dhidi ya Al Merrikh, Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam Tanzania.
MPIRA UMEANZA: Dakika ya 1 = Simba 0-0 Al Merrikh
Dakika ya 17 Goli - Luis Miqussone
Dakika ya 38 Goli - Mohammed Hussein Tshabalala
Dakika ya 43 - Joash Onyango anaomba kutolewa uwanjani baada ya kupigwa na mpira kichwani na kupata huduma ya kwanza
Dakika ya 45- Anaingia Erasto Nyoni kuchukua nafasi ya Onyango
Zimeongezwa dakika 3
MAPUMZIKO: Simba 2-0 Al Merrikh
KIPINDI CHA PILI
Simba: Mzamiru anatoka anaingia Bwalya
Al Merrikh: Ahmed Yosuph anachukua nafasi ya Mohamed
Dakika ya 49 Goli - Mugalu
Simba: Dakika ya 71, Mugalu anatoka anaingia Kagere, Morrison anatoka, anaingia Jonas Mkude
Simba: Dakika ya 82 Luis anatoka anaingia Kahata
DAKIKA 90 : Simba 3 - 0 Al Merrikh
DAKIKA ZA NYONGEZA
FT: Simba 3-0 Al Merrikh
Kikosi cha Simba SC kitakachoanza leo dhidi ya Al Merrikh, Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam Tanzania.
MPIRA UMEANZA: Dakika ya 1 = Simba 0-0 Al Merrikh
Dakika ya 17 Goli - Luis Miqussone
Dakika ya 38 Goli - Mohammed Hussein Tshabalala
Dakika ya 43 - Joash Onyango anaomba kutolewa uwanjani baada ya kupigwa na mpira kichwani na kupata huduma ya kwanza
Dakika ya 45- Anaingia Erasto Nyoni kuchukua nafasi ya Onyango
Zimeongezwa dakika 3
MAPUMZIKO: Simba 2-0 Al Merrikh
KIPINDI CHA PILI
Simba: Mzamiru anatoka anaingia Bwalya
Al Merrikh: Ahmed Yosuph anachukua nafasi ya Mohamed
Dakika ya 49 Goli - Mugalu
Simba: Dakika ya 71, Mugalu anatoka anaingia Kagere, Morrison anatoka, anaingia Jonas Mkude
Simba: Dakika ya 82 Luis anatoka anaingia Kahata
DAKIKA 90 : Simba 3 - 0 Al Merrikh
DAKIKA ZA NYONGEZA
FT: Simba 3-0 Al Merrikh