Full Time: Simba SC 3 - 0 Al Merrikh

Full Time: Simba SC 3 - 0 Al Merrikh

Mpira ni uchawi mkubwa sanaaa. Leo nimeota Simba hawajafuzu robo fainal.
Hii ni baada ya kupigwa match zote mbili zilizobaki, hivyo akaringana na Vita club ila Vita ikasonga mbele kwa advantage ya magoli mengi😁 keep waiting. hii coment itakuja kufanyiwa reference wakuu. najua mtasema mm utopolo. sawa ila ndoto zangu zinakuwaga 100%🤣🤣🤣
 
Mpira ni uchawi mkubwa sanaaa. Leo nimeota Simba hawajafuzu robo fainal.
hii ni baada ya kupigwa match zote mbili zilizobaki, hivyo akaringana na Vita club ila Vita ikasonga mbele kwa advantage ya magoli mengi[emoji16] keep waiting. hii coment itakuja kufanyiwa reference wakuu. najua mtasema mm utopolo. sawa ila ndoto zangu zinakuwaga 100%[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amka mkuu usijeukakojoa kitandani

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mpira ni uchawi mkubwa sanaaa. Leo nimeota Simba hawajafuzu robo fainal.
hii ni baada ya kupigwa match zote mbili zilizobaki, hivyo akaringana na Vita club ila Vita ikasonga mbele kwa advantage ya magoli mengi😁 keep waiting. hii coment itakuja kufanyiwa reference wakuu. najua mtasema mm utopolo. sawa ila ndoto zangu zinakuwaga 100%🤣🤣🤣
Ulitakiwa useme hivi mapema kabla ya mechi za leo. Unaangalia matokeo halafu unajidai kuoteshwa yajayo
 
Back
Top Bottom