Full Time: Simba SC 3-0 Tanzania Prisons | NBC Premier League | KMC Complex | 11 Februari, 2025

Full Time: Simba SC 3-0 Tanzania Prisons | NBC Premier League | KMC Complex | 11 Februari, 2025

Taja basi mechi alizoshinda 5 tutaje na mwenzake alizoshinda 5 tulinganishe
Mara hii umebadili gia angani tena unataka kulinganisha idadi ya mechi wakati hoja ilikuwa ni kushinda kuanzia goli tano (kwanza mmetuzidi mechi moja tu), by the way sisi mechi zetu siyo za maigizo ninyi hongeni hizo timu kisha zifungeni hata magoli mia ila ukiishia nafasi ya pili hayo magoli hayatakupa ubingwa, maana naona msimu huu mmeona ubingwa mgumu mmeamua kutafuta kiatu cha mfungaji bora kwa namna yoyote ile mradi msitoke patupu, kabla hujaleta zile ngonjera zenu za kuifunga simba mechi nne mfululizo jikumbushe kwanza mliifunga katika mazingira gani, tumeshajua kiwango chenu kinapimwa kwenye mechi za kimataifa na zile timu ambazo hazidhaminiwi na gsm hicho ndio kiwango chenu halisi huku kwingine huwa mnacheza nje ya uwanja
 
Mungu wee! Wajelajela wametembezewa kichapo tena!! Basi sasa hivi TFF iwape Simba kombe lao hakuna haja ya kupoteza muda. Yanga hatuwezi kuwafikia Simba tena; tusitegemee kuwafunga siku ya derby kwani yale ya MC Alger yanaweza kujirudia tena, tukatoka sare halafu wao wakasonga mbele. Vinginevyo tukicheza kama tulivyocheza dhidi ya JKTR basi tunaweza kutembezewa kichapo cha mbwa koko.
 
Wapumbavu fountaingate walikaza juzi wamewapanulia akina nani wale wakapigwa goli 2. Shenz kabisa.
 
Wapumbavu fountaingate walikaza juzi wamewapanulia akina nani wale wakapigwa goli 2. Shenz kabisa.
Kawaida... Simba huwa inakaziwa sana. Wakifungwa na wengine huwa sawa ila siyo na Simba.

Huoni Mecky Mexime yeye akiwa kocha wa timu yoyote ile, mkazo mkubwa huwa anauweka kwenye kuhakikisha anaifunga Simba. Na akishindwa imamuuma KWELI KWELI😃😀😆
 
Kawaida... Simba huwa inakaziwa sana. Wakifungwa na wengine huwa sawa ila siyo na Simba.

Huoni Mecky Mexime yeye akiwa kocha wa timu yoyote ile, mkazo mkubwa huwa anauweka kwenye kuhakikisha anaifunga Simba. Na akishindwa imamuuma KWELI KWELI[emoji2][emoji3][emoji38]
Amepigwa goli 2 safi na amecheza gemu ya hovyo .. nilisema niwaangalie hio mechi nilikaa benchi la mbele kabisa kwenye banda umiza ..
 
Wapumbavu fountaingate walikaza juzi wamewapanulia akina nani wale wakapigwa goli 2. Shenz kabisa.
Hizo timu ñdivyo zilivyo.
Subiri next match ya JKT Tanzania hutaamini.
Ingekua timu ya taifa inachaguliwa kwa kutizama mechi za hizi timu 2 kubwa zinapocheza na hivi vijitimu vyengine siku zote wangeenda mchomo.
Kwa maelezo zaidi refer usajili wa Ditram Adrian Nchimbi Kwenda Yanga kutokana na hat-trick yake Yanga 3
Polisi 3
na usajili wa Abdul Soppu kwenda Azam kutokana na hat-trick yake.
Yanga 3 Coastal 3 (FACup)
 
Mara hii umebadili gia angani tena unataka kulinganisha idadi ya mechi wakati hoja ilikuwa ni kushinda kuanzia goli tano (kwanza mmetuzidi mechi moja tu), by the way sisi mechi zetu siyo za maigizo ninyi hongeni hizo timu kisha zifungeni hata magoli mia ila ukiishia nafasi ya pili hayo magoli hayatakupa ubingwa, maana naona msimu huu mmeona ubingwa mgumu mmeamua kutafuta kiatu cha mfungaji bora kwa namna yoyote ile mradi msitoke patupu, kabla hujaleta zile ngonjera zenu za kuifunga simba mechi nne mfululizo jikumbushe kwanza mliifunga katika mazingira gani, tumeshajua kiwango chenu kinapimwa kwenye mechi za kimataifa na zile timu ambazo hazidhaminiwi na gsm hicho ndio kiwango chenu halisi huku kwingine huwa mnacheza nje ya uwanja
Mtaendelea kuwa na mawazo ya kimaskini mpaka kiama,,na mnapoendelea kushupaza shingo kukataa ubora wa wenzenu kuwa wamewazidi aitowasaidia bali itaendelea kuwatafuna mpaka siku akili zikiwakaa sawa,,
Mtu una akili timamu unasema mlifungwa mechi 4 zote ktk mazingira Gani? Ktk mechi zote ulishindwa kujua unaferi wapi mpaka unafungwa?
Kiburi, wivu, ni vitu vinavyowatafuna maana amtaki kujifunza Wala kukubali mmezidiwa mbali kiubora wa wachezaji na vikosi ndio maana mnakosa heshima na mnahongwa Kila mkinusa pua zenu nanabaki na mawazo yale yale ya kimaskini kwamba wenzenu wanashinda kimipango,,na mkiingia na mentality iyo iyo kwenye mechi ijayo vilio vitaendelea nakwambia!
 
Mtaendelea kuwa na mawazo ya kimaskini mpaka kiama,,na mnapoendelea kushupaza shingo kukataa ubora wa wenzenu kuwa wamewazidi aitowasaidia bali itaendelea kuwatafuna mpaka siku akili zikiwakaa sawa,,
Mtu una akili timamu unasema mlifungwa mechi 4 zote ktk mazingira Gani? Ktk mechi zote ulishindwa kujua unaferi wapi mpaka unafungwa?
Kiburi, wivu, ni vitu vinavyowatafuna maana amtaki kujifunza Wala kukubali mmezidiwa mbali kiubora wa wachezaji na vikosi ndio maana mnakosa heshima na mnahongwa Kila mkinusa pua zenu nanabaki na mawazo yale yale ya kimaskini kwamba wenzenu wanashinda kimipango,,na mkiingia na mentality iyo iyo kwenye mechi ijayo vilio vitaendelea nakwambia!
Ladack chasambi bingwa
Simba bingwa
 
Mtaendelea kuwa na mawazo ya kimaskini mpaka kiama,,na mnapoendelea kushupaza shingo kukataa ubora wa wenzenu kuwa wamewazidi aitowasaidia bali itaendelea kuwatafuna mpaka siku akili zikiwakaa sawa,,
Mtu una akili timamu unasema mlifungwa mechi 4 zote ktk mazingira Gani? Ktk mechi zote ulishindwa kujua unaferi wapi mpaka unafungwa?
Kiburi, wivu, ni vitu vinavyowatafuna maana amtaki kujifunza Wala kukubali mmezidiwa mbali kiubora wa wachezaji na vikosi ndio maana mnakosa heshima na mnahongwa Kila mkinusa pua zenu nanabaki na mawazo yale yale ya kimaskini kwamba wenzenu wanashinda kimipango,,na mkiingia na mentality iyo iyo kwenye mechi ijayo vilio vitaendelea nakwambia!
Acha porojo wewe takwimu za msimu huu zinaongea mngekuwa na huo ubora si mngekuwa mnaongoza ligi, simba tungekuwa wabovu si tungekuwa nafasi ya tatu au chini zaidi, msimu ulipoanza si mlisema yanga hii hakuna wa kuifunga africa sasa mbona leo mnalialia tena
 
Back
Top Bottom