πππππHivi tukiwaandikia CAF barua mechi ya mwisho akacheze YANGA tunaweza kubaliwa au
Double Chance kwa AS vita
simba leo anakufa gori 2 bila kama amesimama
Mlitengeneza hadi jezi zake mkidanganywa na boya wenu aliyefungiwahilo galasa bado mnalipamba tu
Rejuvenated ball ceteris peribus niishie hapo utopolo hawataelewaHiyo aliyocheza chama hapo Kitaalamu tunaitaje?
Bei ya bando imepanda atakosa hela ya sikukuuDogo sasa fanya hivi, rudisha simu kwa baba usije ukamaliza bando.
This is simba brotherrrrIbenge katoa macho hayo.[emoji23]
Ushindi wa Simba dhidi As Vita hauna mashaka Kama ushindi wa CCM.
Hivi tukiwaandikia CAF barua mechi ya mwisho akacheze YANGA tunaweza kubaliwa au
Aahhh we naye, uwe unawahi banaHahahaa ndio nimekuja
Hata akitushinda 100 hawezi kufikisha point tulizonazoVip ivi ahly akitushinda bao nne tunaweza kuwa group winner
Imebidi wawabebe maana hawana uhakika na Simba [emoji23][emoji23][emoji23]Ahly wamesawazisha lala salama
dro ya 2-2Tupe matokea ya sudan