Haa SawaHii timu bora ikabadilishwa tu jina na kuitwa MO FC! Yaani jezi imejaa Moo Moo kila sehemu! Utafikiri mashabiki wanapewa bure hizo jezi!
Yanga Imekwenda Nigeria KinyongeSubiri jioni River's United anawatia vidole nyuma ya mwiko
Huendi Nigeria Kuangalia MtakavyofanyaLelo Niko mazembe..
Tp mazembe piga hao makolokolo
Hiyo kwa leo sio ishuLelo Niko mazembe..
Tp mazembe piga hao makolokolo
Mwijaku.Msemaji mpya wa timu anatambulishwa leo kwenye tukio.
Mechi sa 11 jioni
Meza za Nigeria ni zile zimejengewa na cements, kama tulizokua tunasomea nje vyuoni.mbwa fc wanang'ang'ani kuwa wanaenda kupindua meza hivi wanadhani NIGERIA kuna watoza ushuru wa kisadukayo.
Mapema sana kolo linakufaLelo Niko mazembe..
Tp mazembe piga hao makolokolo
AKA Vimbweta, havipinduki vile labda kwa greda.Meza za Nigeria ni zile zimejengewa na cements, kama tulizokua tunasomea nje vyuoni.
Nakubali utoKwahali inavyoendelea haujai labda wakabebe machinga karume
Leo ntakuwa bize hapa uwanjani hivyo naamini utatuwakilisha vyema hapa jukwaaniLeo ni kilele cha ile siku pendwa ya Simba day ambapo inafanyika kwa mara ya 13 mfululizo.
Tupo hapa kukuletea matukio yote muhimu toka Benjamin Mkapa national stadium.
Ungana nasi wanasimba wa Jf kusherekea pamoja nami nawaleta OKW BOBAN SUNZU Mightier FORTALEZA
Na wengine wataungana baadae kidogo
Shughuli zilizopo
Burudani ya muziki
Mechi za utangulizi toka Simba queen na Simba u20
Utambulisho wa wachezaji
Simba vs Tp englaB mazembe
Ungana nasi
Huyo anafaa sana kwenye hamasa labda, ila afisa habari hafai, labda kama atabadilika akipewa hiyo nafasi, asiwe na mfululizo wa vijembe kuliko kuwasilisha content kwenye pres zake na waandishi.Mwijaku.
Mechii! Bonanza? Limeshaanza tayari. Wahi uwanjani au washa tv uwaangalie mbumbumbu wenzako wanavyo ruka ruka na kukanyagana.Wadau kwani mechi itakua saa ngapi?
Tehe, tehe, haaaa, una mabango wewe Utopolo.Mechii! Bonanza? Limeshaanza tayari. Wahi uwanjani au washa tv uwaangalie mbumbumbu wenzako wanavyo ruka ruka na kukanyagana.