Mnyuke Jr
JF-Expert Member
- Jul 3, 2021
- 4,472
- 6,391
Sawa wazee wa kwa mujibu wa maktaba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nenda banda la mpira km huna king'amuzi nchi ya [emoji881] afu kuujaza uwanja now day kwa simba sio kitu mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa wazee wa kwa mujibu wa maktaba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nenda banda la mpira km huna king'amuzi nchi ya [emoji881] afu kuujaza uwanja now day kwa simba sio kitu mzee
Hahahahhah acha kupaniki,tunaomba picha ya tofauti na hiyo wewe MbuMbuMbuNingekuwa karibu nawewe ningekuweka makofi ya mgongo akili yako irudi kichwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa shabiki wa Yanga ukakumbuka Simba haina Chama na Luis Jose unakaa kimya tu huku ukijisemea muda utaongea huko mbele😀😀😀😀Mbona una gubu kama mke mwenza......
Kaa kwa kutulia, siku ya zamu yako ya kumuhudumia mumeo haijafika.....
Sasa chief, kama upo uwanjani na unaona ma-gap kwa nini usiweke hizo picha za Uwanjani? Mbona ni kitu rahisi rahisi tu!Sawa wazee wa picha za maktaba
Na washauri tu wekeni picha halisi za uwanja Coz Mm niko uwanjani na hali halisi naiona na magap ni makubwa sana
Nipo huku kwenye viti vya orange nimevaa jezi nyekundu mgongoni imeandikwa waterloo acha uwongo hakuna nafasi tumebanana sana.Kuna viti vya Orange huku kwenye mzunguko kuna nafasi nyingi sana kama kuna mtu hajapata pata pa kukaa aje huku kwenye viti vya orange
Updates zipo mzee angaliaMleta uzi mugah di matheo amekimbia kuleta updates coz hakuna cha maana zaidi pale kwa mkapa
Ahaa, kumbe hapo kabla Simba ilikuwa ilishaujaza uwanja!Mnatuletea picha za maktaba
Ndio mwaka janaAhaa, kumbe hapo kabla Simba ilikuwa ilishaujaza uwanja!
Ww acha uchawi, wenzako waje wakae hukuNipo huku kwenye viti vya orange nimevaa jezi nyekundu mgongoni imeandikwa waterloo acha uwongo hakuna nafasi tumebanana sana.
Achana nae huyo..wewe Insigne mwaka Jana kauli mbiu ilikuwa ONE TIMU ONE DREAM siyo
Vipi Koffi Olomide nae kashatumbuiza?Show ya kibabe sana mwaka huu
Wewe Satoh Hirosh kwani kazi ya editing ni nini?Achana nae huyo..wewe Insigne mwaka Jana kauli mbiu ilikuwa ONE TIMU ONE DREAM siyo