Teamanaconda
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 602
- 564
Inamaana Simba imekosa mtu wa mpira wa kutambulisha wachezaji?si wangemkodi hata Dauda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na haina makelele wala misukuleShow ya kibabe sana mwaka huu
simba haipangiwi... hata wewe tu unaweza kwenda kutambulishaInamaana Simba imekosa mtu wa mpira wa kutambulisha wachezaji?si wangemkodi hata Dauda
Ahahah Sawa bn picha kutoka maktaba mkuuWewe Satoh Hirosh kwani kazi ya editing ni nini?
Halafu kuchukua picha maktaba na kuweka caption mpya kuna hitaji ulinzi?
😀😀Ahahah Sawa bn picha kutoka maktaba mkuu
Mleta Uzi anaandaa Uzi mpya wa wanautopolo[emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
Tupo tunawachangamshia thread yenu coz mleta uzi hata kuwaletea watu wake updates hawezi
Hii ni live kweli ama tunabangaiza tu.Leo ni kilele cha ile siku pendwa ya Simba day ambapo inafanyika kwa mara ya 13 mfululizo.
Tupo hapa kukuletea matukio yote muhimu toka Benjamin Mkapa national stadium.
Ungana nasi wanasimba wa Jf kusherekea pamoja nami nawaleta OKW BOBAN SUNZU Mightier FORTALEZA
Na wengine wataungana baadae kidogo
Shughuli zilizopo
Burudani ya muziki
Mechi za utangulizi toka Simba queen na Simba u20
Utambulisho wa wachezaji
Simba vs Tp englaB mazembe
Ungana nas
Matokeo utangulizi
Simba U20 1-0 fonten gates
Simba queen 0-0
Faru 0-0 Tembo
Updates
Burudani ya mpoki ni hatari,anatafsiri kifaransa hadi Raha
Wimbo wa taifa unaimbwa kwa vifaa maalumu
Mkuu anzisha uzi wa Nigeria kule, Mayele ameandika bao la pili😀😀
Tupo tunawachangamshia thread yenu coz mleta uzi hata kuwaletea watu wake updates hawezi
Weka pichaNarudia tena, kwenye mzunguko wa viti vya Orange kuna nafasi za kutosha, kwann ukae kwa kubanana wakati huku kuna nafasi za kutosha
Game ingekuwa live ningeleta uzi hapa ila no way outMkuu anzisha uzi wa Nigeria kule, Mayele ameandika bao la pili
Acha maneno hayo,tena acha kabisa.Jamaa umri umeshaenda mkuu,heri vijana wadogo hata wanauzika kwa dau kubwa
Ahsanteni sana viongozi wa Simba.Kaletwa tayari