KUCH KUCH
JF-Expert Member
- Dec 18, 2015
- 1,327
- 966
Huko Nigeria mshatiwaUwanja wa mkapa kule hali mbaya sana MO fc bukta zinawapwaya leo lazima wakalale na viatu
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko Nigeria mshatiwaUwanja wa mkapa kule hali mbaya sana MO fc bukta zinawapwaya leo lazima wakalale na viatu
Hii mijamaa imewekwa mwiko nyuma kama kawaida yao...Tulia wewe. Mbona nyie mmekufa huko
Tayari mwali katolewa bikra
Hii bonanza tu usiogope, afu tunacheza na bingwa mara tano wa AfrikaWhat the hell is this??
Mbona hakuna kitu tunacheza? Tunabutua tu
Nani kafungwa huko?Goli la kikatili.... halafu jamaa kapiga huku kafumba machi....
Kocha anasoma tumpe mudaNilitarajia angeingizwa Muzamiru au Mkude nafasi ya Bwalya badala ya Kagere. Kocha kachemka hapa
Utopolo mkalale mapema kwa kweli
Simba Taifa kubwa sanaNyuzi za simba huwa zinachangamka sana.
Ajabu wale wengine hadi nyuzi za live apdates za kilabu chao huwa tunawaanzishia sisi wenyewe.
Hii inaonesha wapo dhaifu bin hali kuanzia ndani ya uwanja, nje mpaka huku JF.
Lakini sijawataja jamani!