FULL TIME: Simba Vs TP Mazembe(0-1) | Simba Day | Mkapa Stadium

FULL TIME: Simba Vs TP Mazembe(0-1) | Simba Day | Mkapa Stadium

Hii mijamaa imewekwa mwiko nyuma kama kawaida yao...
ExecyWwWEAMCa35.jpg
 
Mkuu acha kumlaumu Manuka mkuu, Manuka kaokoa michomo mingapi kwenye hii mechi? Yani makosa ifanye team alafu lawama ziende kwa Manula?

Tuseme ukweli, Simba Sc tumecheza utumbo leo, sijui itakuwaje tu mitandaoni hii aibu.
Ni kweli bora umesema kweli utumbo kabisa wa kupikia ndizi
 
Me nililiona tangu mwanzo, mpira tunacheza sio uke wa misimu miwili ya nyuma.Tumeanza kwa kuunajisi uwanja wa Mkapa katika mechi za kimataifa.

Hii Simba Sc siioni ikifika mbali kabisa, inatakiwa mabadiliko ya haja kwenye hiki kikosi.

Nadhani makosa ya kuuza Chama na Miquisone kwa mkupuo sasa yanaonekana, team imekosea waanzisha mashambulizi imebakia kubutuabutua tu.

Hapa hakuna cha kusema tumefungwa kwa bahati, Tp Mazembe wametuchezea mpira kwelikweli.
Hapana timu bado nzuri kabisa Kwasababu ukiangalia makosa mengi yamefanywa na wachezaji wa zamani. Pamoja na makosa ya kocha na wachezaji kujisahau mabeki wote wanne.
 
Back
Top Bottom