Kachanganyikiwa msamehe Mr. Mbeleko Na NyosoMpira wa kutengwa hauna assist mzee
Kipa hata hakuguswa ni timing yake mbovuWamebebwa ile ile tactical foul iliyofanywa na Hamza. Marefa wamemeza filimbi mpira umewekwa kati
Ndio kwanza nasikia kwako mkuu🤣🤣Mpira wa kutengwa hauna assist mzee
Hapo kwenye ki vyovyote una haribu mzeeMsimu tunautaka ubingwa kivyovyote vile
Ni ushabiki tu mkuu…Hapo kwenye ki vyovyote una haribu mzee
Kipa hata hakuguswa ni timing yake mbovu
Sisi hua TUNANUKUU MKUUNi ushabiki tu mkuu…
Mmesha maliza kujenga timuMsimu tunautaka ubingwa kivyovyote vile
Hilo liko wazi kabisaa.... Chukueni tu kombe lenu...Msimu tunautaka ubingwa kivyovyote vile