Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Mama kapigiwa kwa wingiTimu isipofuzu chawa wasisahau kumshukuru mama.
Kocha alitaka kumtoaMsuvaaaaaaaaaaaaa
ujumbe umekufikiaMSUVA tusipofuzu lawama zote juu yako....mamaaaeeee
Hahaha nilishasema hapo kabla ya GoliPongezi hizi za ushindi wa Taifa Stars 1-0 dhidi ya Guinea ni maalumu kwa Rais Dkt.
Asante60’ Tanzania 1-0 Guinea
Ninasikia kucheka leo hahahaMsuva aliruka kichwa mchumio baada ya krosi maridhawa ya Mudathi
Stars 1-0 GUINEA
Na kwanini avue jezi? Palikuwa na ulazima wa kufanya hivyo?MSUVAAAAAAAA