Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Baada ya kutoka kuchapika dhidi ya mtani wake leo Simba SC anakibarua kizito mbele ya wanajelajela Tanzania Prisons
Tanzania Prisons VS Simba SC |
NBC Premierleague |
Sokoine Mbeya |
Oktoba 22, 2024
4:00 PM
Dakika, 5 Simba wanapata goli la kuongoza
Dakika,13 Simba wamekuwa na umiliki mzuri wa mpira
Dakika, 17 Prisons wamefanya jaribu zuri lakini wanakosa goli
Dakika 24 mchezo umkewa wa kasi kwa timu zote mbili.
Dakika, 25 Ngoma anakosa goli la wazi.
Dakika, 27 Haji Mussa anapata kadi ya Njano.
Dakika, 31 Kibu anafanya shambulizi kali sana
Dakika, 40 Zibwe anakosa goli katika nafasi nzuri sana.
Dakika mbili zimeongezwa kukamilisha dakika 45 za kipindi cha kwanza
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimetamatika kutoka uwanja wa Sokoine Mbeya. Simba 1- 0 Tanzania Prisons
Dakika 45 za kipindi cha pili zimeanza
Dakika, 52 Simba wanatengeneza nafasi lakini wanashindwa kufunga goli.
Dakika, 54 Ateba anakosa utulivu wa kufunga goli la pili timu yake.
Dakika,57 Ateba anakosa goli baada ya save nzuri ya Musa Mbisa
Dakika, 62 Balua anachua nafasi ya Mohamed Hussen Lakini Aweso naye anatoka nafasi yake inachukuliwa na Mutale.
Dakika 67 Prisons wanafanya mabadiliko ya wachezaji watatu.
Dakika 72 Ateba anatoka nafasi yake inachukuliwa na Steven Mukwala.
Dakika, 73 Isimaly anapata kadi ya njano.
Dakika, 74 Dotto Shabani naye anapata kadi ya njano kwa upande wa Prisons.
Dakika 76 Mussa Mbisa anafanya Save nzuri sana baada ya kichwa cha Mutale.
Dakika, 82 Prisons wanafanya mabadiliko.
Dakika, 84 Chasambi anatoka anaingia Mzamiru.
Dakika mbili zimeongezwa kukamilika kwa dakika 90 za mchezo.
Dakika 90 zimekamilika na Simba wanapata alama 3 muhimu sana kwako
Tanzania Prisons VS Simba SC |
NBC Premierleague |
Sokoine Mbeya |
Oktoba 22, 2024
4:00 PM
Dakika, 5 Simba wanapata goli la kuongoza
Dakika,13 Simba wamekuwa na umiliki mzuri wa mpira
Dakika, 17 Prisons wamefanya jaribu zuri lakini wanakosa goli
Dakika 24 mchezo umkewa wa kasi kwa timu zote mbili.
Dakika, 25 Ngoma anakosa goli la wazi.
Dakika, 27 Haji Mussa anapata kadi ya Njano.
Dakika, 31 Kibu anafanya shambulizi kali sana
Dakika, 40 Zibwe anakosa goli katika nafasi nzuri sana.
Dakika mbili zimeongezwa kukamilisha dakika 45 za kipindi cha kwanza
Dakika 45 za kipindi cha kwanza zimetamatika kutoka uwanja wa Sokoine Mbeya. Simba 1- 0 Tanzania Prisons
Dakika 45 za kipindi cha pili zimeanza
Dakika, 52 Simba wanatengeneza nafasi lakini wanashindwa kufunga goli.
Dakika, 54 Ateba anakosa utulivu wa kufunga goli la pili timu yake.
Dakika,57 Ateba anakosa goli baada ya save nzuri ya Musa Mbisa
Dakika, 62 Balua anachua nafasi ya Mohamed Hussen Lakini Aweso naye anatoka nafasi yake inachukuliwa na Mutale.
Dakika 67 Prisons wanafanya mabadiliko ya wachezaji watatu.
Dakika 72 Ateba anatoka nafasi yake inachukuliwa na Steven Mukwala.
Dakika, 73 Isimaly anapata kadi ya njano.
Dakika, 74 Dotto Shabani naye anapata kadi ya njano kwa upande wa Prisons.
Dakika 76 Mussa Mbisa anafanya Save nzuri sana baada ya kichwa cha Mutale.
Dakika, 82 Prisons wanafanya mabadiliko.
Dakika, 84 Chasambi anatoka anaingia Mzamiru.
Dakika mbili zimeongezwa kukamilika kwa dakika 90 za mchezo.
Dakika 90 zimekamilika na Simba wanapata alama 3 muhimu sana kwako