Kweli kabisa sababu majamaa nao hawajaja kinyonge kama walivyo mashabiki wao wa jf. πMechi ngumu hii
NYUMA MWIKOOOOOOOOOO!!!!!
Na watalala naoπNYUMA MWIKOOOOOOOOOO!!!!!
Yamekuwa hayo tena!Yanga imetulia, imeruhusu Simba icheze mpira.
We huogopi?Na watalala naoπ
Sema kweli
Wanajitekenya na kujichekesha wenyewe
Heshima yako mkuuSIMBA atabaki kuwa SIMBAβ€β€β€