Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Duuh aisee Mimi ndio Kwa mara yakwanza nilionaWana chapika tu sana mbona kuna mmoja week ilio pita ali panda boda aka goma kulipa alichapwa ndondi hadi tukaenda kuamua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh aisee Mimi ndio Kwa mara yakwanza nilionaWana chapika tu sana mbona kuna mmoja week ilio pita ali panda boda aka goma kulipa alichapwa ndondi hadi tukaenda kuamua
Wadau aisee sijui kwanini huyu jamaa askari wa jwtz anaenda kuangalia mpira na raia Sasa ilikua hivi huyu mjeshi ni shabiki wa yanga siku ya mechi ya simba na yanga ikatokea ubishani Fulani mda huo yanga anaongoza Gori 1 Sasa kulikua na mashabiki wa simba 2 walikua wanamaindi mjeshi anavyotoa kauli mbovu wakamwambia kwani wewe unasemaje ndio ugomvi ukaanzia hapo aisee kumbe wanajeshi hamna kitu jamaa alichakazwa na raia wa 2 tu wale jamaa kugundua alikua mjeshi mtaani hawaonekani Kwa mara ya Kwanza najionea mwanajeshi akipigwa aisee jamaa alijaa damu
🙆🏽♂️🙆🏽♂️🙆🏽♂️Sasa wewe endelea kukaa hapo mtaani yakukute ya Yombo.
kioski.Nipo mkuu Sema sijakujua ID yako ya zamani ni ipi?