black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
Simba timu ni nzuri. Huko mbeleni kuna mwanga. Kumbuka wapo pamoja wiki kama 6 tuSimba tumezidiwa, kwenye midfield, tukifanya mchezo tutakoga nyingi..
kashavuja mtuMbona kelele nasikia huko
Nzengeli naomba unisamehe🙌Aliyempa Nzengeli jina la Mbappe wa Kindu ni nani?🙄
Labda watabadilika...Wachezaji wabinafsi kama wakishirikiana Mbona magoal yapo
Tumeanza kuwalaMbona kelele nasikia huko
😂😂🔥🔥🔥🔥🔥Darasa la uchawi ulianza kuhudhuria lini bila mimi kujua.?[emoji3][emoji3]
Mechi bado mbichi hiiLabda watabadilika...
Kapombe anatukaba.Hii game akirudi Kapombe nitaamini hatuko serious.!
Naona mapenzi ya Aziz K kutoka kwa mashabiki yatachukuliwa na PaccomeYaniiii Hamisa haendi mbinguni walai pooor our Azizi[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji172][emoji172]
Cc Smart911
Bado ukweli ni kwamba tumezidiwa kwenye midfield, hapo ndipo mwalimu anapaswa kuonesha uwezo wake ni jinsi gani anaendana na wakati.Simba timu ni nzuri. Huko mbeleni kuna mwanga. Kumbuka wapo pamoja wiki kama 6 tu